nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
haya mambo yanakera jamani,unapoona wapinzani wa kweli congo kama kina martin fuyulu wanalia kwa sababu wanaona hadi sasa hivi nchi yao ipo contolled by remote from kigali maana Tshisekedi ni pambo tu.
Kuna watu bado wanadhani huyu jamaa ni mcongo na wanadhania jina lake halisi ni joseph kabila,la hasha kwa wasiofahamu embu tupate historia kwa ufupi
**alizaliwa mwaka 1971 baba yake akiitwa Christopher kanambe kazemberembe na mama yake akiitwa marcellina Mukambukuje
*Baba yake alikuwa ni muasi anayepinga utawala wa Juvenal Habyarimana na katika harakazti hizo akakutana na laurent kabila aliyekuwa kwenye mapigano ya kumpinga mobutu seseseko,wakawa marafiki chanda na pete kwenye issue zao za kivita
*mwaka 1977 bwana kanambe alifariki dunia na kwa mujibu wa mila ilibidi kabila amrithi mke wake kanambe yaanio Marcellina na watoto wke wawili mapacha..Hypolitte na Jenny(wale wa karibu na escape 1 mnakumbuka utajiiri na matanuzi ya huyu dada)
*wote rasmi wakaanza kuitwa kabila, katika harakati za kabila za mapambano alikimbilia tanzania na familia yake ingawaje alikuwa na wanawake 13 na watoto 25 katika sehemu mbalimbali
*Joseph a.k.a Hypolite ni mpwa wa mkuu wa majeshi wa rwanda wa sasa aitwaye James kabarebe na hadi mwaka 1996 alikuwa dereva wake kwenye vita ya banyamulenge ya
kumsaidia kabila kumtoa mobutu hata waziri wa mambo ya nje kipindi hicho wa DRC mr Bizima karaha anakumbuka kumuona kabila akiwa dereva wa Kabarebe
*mwaka 94 na 95 alikuwa porini na jeshi la kagame la RPF
-----------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Kesho tutaendelea na part 2 kuonyesha jinsi alivyo rise to power na jinsi plan ya kagame kumuondoa laurent kabila duniani na kumuweka mnyarwanda huyu ilivyofanya kazi inaitwa TROJAN HORSE TECHNIC kama huijui soma historia ya vita ya wagiriki ,hata vile virusi vya computer hatari vinaitwa trojan horse,yaani wanyarwanda waliojifanya wa congolese walliingizwa katika system ya Congo hadi mmoja wao kuwa Rais wengine kushika vyeo vya maana kabisa.
Tutaangalia pia high profile mauaji na ukatili mkubwa uliofanyika congo na bado unafanyika hadi leo.
Hyppolite kanambe a.k.a Jospeh kabila akiwa na anko wake James kabarebe ambaye ni mkuu wa majeshi wa Rwanda sasa hivi
1994 akiwa mwanajeshi w RPF vitani chini ya kagame
UPDATE: PART 2 KIFO CHA BABA YAKE HYPPOLITE
CHRIS ADRIEN KANAMBE NA LAURENT KABILA walikutana in 1964 kila mmoja akiwa anapambania nchi yake,kanambe vs wahutu ,kabila vs mobutu seseseko
mamabo yakawa magumu mwaka 1966 wakakimbilia Tanzania chini ya mwamvuli wa P.R.P. (Parti de la Revolution du Peuple)
baada ya vita ya Moba ,Mobutu seseseko alituma watu kumuhonga hela nyingi Adrien kanambe ambaye ni baba halisi wa joseph kabila ili amuue laurent kabila lakini mission ilibuma ,kabila akitisha kikao sehemu iitwayo Nyunzu wanajeshi wake kadhaa wakapatikana na hatia akiwemo Adrien kanambe na wakahukumiwa kifo
laurent akamuoa marcelina na kuwa adopt watoto wake mapacha Jenny na Hypolitte.........
Kuna watu bado wanadhani huyu jamaa ni mcongo na wanadhania jina lake halisi ni joseph kabila,la hasha kwa wasiofahamu embu tupate historia kwa ufupi
**alizaliwa mwaka 1971 baba yake akiitwa Christopher kanambe kazemberembe na mama yake akiitwa marcellina Mukambukuje
*Baba yake alikuwa ni muasi anayepinga utawala wa Juvenal Habyarimana na katika harakazti hizo akakutana na laurent kabila aliyekuwa kwenye mapigano ya kumpinga mobutu seseseko,wakawa marafiki chanda na pete kwenye issue zao za kivita
*mwaka 1977 bwana kanambe alifariki dunia na kwa mujibu wa mila ilibidi kabila amrithi mke wake kanambe yaanio Marcellina na watoto wke wawili mapacha..Hypolitte na Jenny(wale wa karibu na escape 1 mnakumbuka utajiiri na matanuzi ya huyu dada)
*wote rasmi wakaanza kuitwa kabila, katika harakati za kabila za mapambano alikimbilia tanzania na familia yake ingawaje alikuwa na wanawake 13 na watoto 25 katika sehemu mbalimbali
*Joseph a.k.a Hypolite ni mpwa wa mkuu wa majeshi wa rwanda wa sasa aitwaye James kabarebe na hadi mwaka 1996 alikuwa dereva wake kwenye vita ya banyamulenge ya
kumsaidia kabila kumtoa mobutu hata waziri wa mambo ya nje kipindi hicho wa DRC mr Bizima karaha anakumbuka kumuona kabila akiwa dereva wa Kabarebe
*mwaka 94 na 95 alikuwa porini na jeshi la kagame la RPF
-----------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Kesho tutaendelea na part 2 kuonyesha jinsi alivyo rise to power na jinsi plan ya kagame kumuondoa laurent kabila duniani na kumuweka mnyarwanda huyu ilivyofanya kazi inaitwa TROJAN HORSE TECHNIC kama huijui soma historia ya vita ya wagiriki ,hata vile virusi vya computer hatari vinaitwa trojan horse,yaani wanyarwanda waliojifanya wa congolese walliingizwa katika system ya Congo hadi mmoja wao kuwa Rais wengine kushika vyeo vya maana kabisa.
Tutaangalia pia high profile mauaji na ukatili mkubwa uliofanyika congo na bado unafanyika hadi leo.
UPDATE: PART 2 KIFO CHA BABA YAKE HYPPOLITE
CHRIS ADRIEN KANAMBE NA LAURENT KABILA walikutana in 1964 kila mmoja akiwa anapambania nchi yake,kanambe vs wahutu ,kabila vs mobutu seseseko
mamabo yakawa magumu mwaka 1966 wakakimbilia Tanzania chini ya mwamvuli wa P.R.P. (Parti de la Revolution du Peuple)
baada ya vita ya Moba ,Mobutu seseseko alituma watu kumuhonga hela nyingi Adrien kanambe ambaye ni baba halisi wa joseph kabila ili amuue laurent kabila lakini mission ilibuma ,kabila akitisha kikao sehemu iitwayo Nyunzu wanajeshi wake kadhaa wakapatikana na hatia akiwemo Adrien kanambe na wakahukumiwa kifo
laurent akamuoa marcelina na kuwa adopt watoto wake mapacha Jenny na Hypolitte.........