Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,544
- 225,108
Mimi nimeupata muda SI mrefu,ulijificha Sana huu uzi .Kuna mdau kanitag ndio nikaupata.
Nacheka km mazuri.
Mimi nimeupata muda SI mrefu,ulijificha Sana huu uzi .Kuna mdau kanitag ndio nikaupata.
Mimi nimeupata muda SI mrefu,ulijificha Sana huu uzi .
Nacheka km mazuri.
Mimi nikijisikia kucheka nakuja Huku.Yaani huu uzu ni full burudani
watu wana maumivuuu!!Mimi nikijisikia kucheka nakuja Huku.
Uzi unasikitisha, halafu unachekesha hatari.
Sijawahi ona Uzi wenye matusi mazito km huu
Stelah....alikua mwembamba, mrefu, shingo ya twiga alaf Maji ya kunde-niliachwa kisa umaskin
Sana.watu wana maumivuuu!!
Huu uzi nilisoma comments zoteeeee.Sana.
Hivi umezisoma vzr comments za kule juu???
Kuna comments kule juu aisee watu Ni mafundi wa matusi.Huu uzi nilisoma comments zoteeeee.
maria..... Ulaaniwe milele!!
Pole boss.Maria. Ni kenge kabisa yule
Hello mlevi, pole Kwa hayo maswahibuThureiya mama kamwe sitokusahau tulikuwa wote ktk orphanage tulicheza wote tulikua wote tulisoma wote
I remember the day ulvyoniambia how you feel about me.. well ilikuwa lkizo tupo form Six ulikuwa ushapata family imeku adopt nlkuwa nakuja kukuona kwa kuibia and ukanitunuku uschana wako
Chuo 1st yr
I start drinking na tabia za ajabu ukanionya ukalia ukidai I'm the only family you have usingependa unipoteze kweny makundi ya ajabu nikakuapia sitorudia tena nikaacha ulipata mkopo asilimia 100 ulikuwa unani save sometimes ukanipa ela tupange tuish pamoja of course nkakubali
2nd yr
Tuliishi wote Kama mke na mume na ulinipenda kwelikweli still ulikuwa ukinifuma nikicheat ulikuwa ukilia Sana nakudanganya unatulia ..tuligombana tukaachana ukaondoka ukaenda ishi na rfk zako nkakupotezea
3rd yr
Niliadha kuzorota academically plus kulewa ukaamua unitafute ukanibadilisha ukasema unanipenda kuliko nnavyofikiria penzi likachipua
Graduation
Ulikuwa umemaliza mm bado engineer naendelea na kitabu sku hyo nlgundua una mimba yangu nlkushaur uitoe maana ungeenda Kuwa mzigo kwa your adopted family ulikataa but mwishowe nikakushawishi ukaitoa nakumbuka last kiss na goodbye
Ulipata bahat ukaajiriwa still bado namalizia last year still hukuchoka kuja kunisalimia na tuliendeleza penzi letu
Daah nimechoka kuandika ila R. I. P wewe na my unborn child umeondoka ukijua Mimi ndo mwenye hatia..nakumbuka yr last words ukitoa machoz usingependa kuniona tena ila si kweli.. Walinifunga bure tu ila ukweli ulikuja julikana na mbinu walizotufanyia sikupata chance ya kukuzika
Mali na pesa walirudisha walinilipa fidia na kunirudisha kazini ila nimeziacha nko mbali hawajui nilipo hata nikishikwa na tatizo maana najua lazima watatafuta mbinu za kunimaliza kijanja nimeandika ziende orphanage .
kweny moyo wako nadhan uliondoka ukiamini mm muhuni sio kwel ila nimeamua kuwa muhun kwel moyo wangu umeharibika
Ubarikiwe sana mpendwaAtoto mtag na mwenzio😂😂😂😂uzi huu huku
Haha alafu mods hawajapiga watu ban nahisi na wao wanaenjoy kuusomaMimi nikijisikia kucheka nakuja Huku.
Uzi unasikitisha, halafu unachekesha hatari.
Sijawahi ona Uzi wenye matusi mazito km huu
Asante financial business karibu konyagiHello mlevi, pole Kwa hayo maswahibu
Huu uzi unagusa hisia za watu.Haha alafu mods hawajapiga watu ban nahisi na wao wanaenjoy kuusoma
Aliwala wakamzinguaOyaa jomba Hawa wote uliwapenda?