Jina gani hutaki kulisikia linalokuumiza kimapenzi?

Mimi binafsi huwa sipendi kusikia jina Lucy. Ooohhh what's the f**ck lucy. Hujawahi kuacha moyo wangu salama baada ya kunisaliti live. Nilijifunza vingi kwako ambavyo mpaka sasa nikikutana na mwanamke anavyo sitakuwa na mahusiano nae.

1. Ni mwongo kiwango cha lami na simu zake zimepandiliana pin kila sehemu.
2. Muda wote anachat whatsapp sms fb... n.k lakini ukiotea simu yake haina sms hata moja. Zinaendaga wapi?

3. Kuna siku alinidanganya kuwa anaenda sehemu sitaki kuitaja humu ila cha ajabu nikamkuta yuko na lijamaa lenye pesa zake. Hakuniona nilipokuja kumuuliza ana tabia ya kujihami kwa kukasirika. Whats the hell is this.

4. Nilikuwa mwaminifu kwa sababu niliona ni mzuri sana kwa sura na wote ni waajiriwa wa serikalini. Sikuona haja ya kuleta magonjwa ndani... Kila niliyemwona sikuona kama anamzidi but one day you gave me STIs na nilipomuuliza whats this f**ck ulinirudishia mpira.

4. Ni miaka miwili tangu tuachane nilimwomba Mungu akanipa "Vmoney". Wallah sijajuta kumpata. Mwanzoni nilidhani wanawake wote wako kama wewe... kumbe kuna watu na viatu. I love V but huwa naomba nisikutane na wewe kwani nikikuona I see all the things in you. Nakuona kwa ndani wengi wasivyokufahamu.

Kama bado hujapata mchumba Lucy badili kwanza tabia... Nahisi mimi sio wa kwanza kunifanyia hivyo. Muda unaenda two years later utakuwa na mwonekano mwingine. Angalia future yako sio sura ya sasa.

Nakuambia utashangaa..... seriously utabiri wangu hujawahi kumwacha mtu salama. Samahani wanajukwaa kwa kuleta agenda yenye ukweli mtupu. Bila hata ya chenga la hata jina la mhusika
jesca magu
 
Konyagiii.

Huyu jamaa amenipa mkosi sana kila niki mtupia s
Lazima nirudishe chenchii. Ila wengine huwa awana shida hadi leo sitakiki kumsikia
 
Hahaaaaaaaaa huu uzi umesema ni jina gani lakini watu wameamua kusindikiza jina na tusi juu
hahahahahahahahahah mi nacheka tu hapa maana Napata raha

ndo ujue vile watu walishawahi kuumizwa kiasi wakisikia tu baadhi ya majina jinamizi la matusi linawapata
 
Kuna mtu kanitaja humu, nakat yeye ndo alinisaliti. Na mimi nasema mbweha mkubwa wewe,mweusi kama ukuta wa jikoni, demu gan unakula sahan nzima ya ugali kama ulizaliwa mashine.
hahahahahahahahaha huu uzi ulikuwaga wapi jamani khaaaaaa

maanake nacheka kama siko timamu

em nipumzisheni waandikaji khaaaaaaaa
 
Naomba uzi ufungiwe hapa maana jina la manzi angu halijatajwa.funga uzi nimesema asije akatajwa kumbe nao ni waumiza mioyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom