Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,443
- 6,986
@Shadeeya yaani umenifanya mpk nicheke kwa sauti asee! Natengua kauli za laana!Pole sana aiseee.
Ila Mkuu Tecno hujailaani sana kama Winnie.
@Shadeeya yaani umenifanya mpk nicheke kwa sauti asee! Natengua kauli za laana!Pole sana aiseee.
Ila Mkuu Tecno hujailaani sana kama Winnie.
Hahahahahahahah hapo halipo kabisaHa ha ha ha ga ,tazama vzr mbn mm nimeliona juu kidg tu apo
Wala sio huyoHa ha ha ,uyu mshkj wangu wa APA ubungo kona,
Ngoj nimwambie kama bado unamkumbuka
Pole sana.Duuh pole mkuu au kuna kaukweli kuhusu wasabato nini maana nami nilikua na huyo kaka wa kisabato ni mstaarabu aisee ila sijui tu akaniletea visavisa kumbe kampata msabato mwenzie, inauma ila ndo hivo maisha lazima yaendelee
Mlaaniwe madem wote wa utumishi, Singida TC na Uhasibu Singida mlinifanya fala kumbe ni malaya hivyo ni mamama huruma kiasi hicho mnamegwa na vibabu mnanitaka kwa sababu zenu binafsi kuniongopea kumbe mnakazwa huko.
Nasemaje mbwa nyie woteee tabia zenu ni moja kama una dem au mke anasoma kwenye hivyo vyuo Mkoa wa singida huna chako manina
Winnie Malaya mkubwa wewe popote ulipo nakulaani sana umenifanya sijaoa mpka leo pamoja na kunidhulumu bado nimesimama kuliko awali!
Yaani wewe ni bora hata usingekuwa unashinda kanisani maana shetani kaweka makazi ndani yako!
Mpare wahed wewe nakuchukia kuliko wote dunia nzima
Anitha anitha anitha, we kiboko mtoto wa kihaya!
Nilidet na WEWE afu nakuja kukupima nakukuta una HIV+, imagine umemgegeda mtu kavu kavu, afu unampina, unamkuta hivo,kipi utafanya? Nilishawah kutoa ushuhuda Mara baada ya kutumia PEP, na Niko poa mpka Sasa, ila Anitha,Mungu anakuona
Yohana alcohol nyambaf
Duh hatar hii kudamdesaJenny kwa ujinga ulionifanyia utalaaniwa wewe na kizazi chako ,nilikupenda na tumbo lako kubwa kama nguruwe mwenye mimba lakini bado hukuona thamani yangu,pamoja na kuwa makalio uliacha huko rombo lakini mimi nilikuthamini, ila bado thamani yangu hukuiona kumanina wewe,nilikupenda ulivyo na miguu yako isiyo na nyama kama kunguru mpumbavu wewe bado hukujua thamani yangu, nakwambia shetani wewe wa kike ujinga ulionifanyia na wewe Mungu atakulaani na hutakaa uolewe ,endelea kuburudisha wanaume mpaka nyeti imeota sugu kama ngozi ya goti,,
Kwa niaba ya Jenny aliyenitenda nasema akina Jenny wote kumanina zenu.
Jina lakoMimi binafsi huwa sipendi kusikia jina Lucy. Ooohhh what's the f**ck lucy. Hujawahi kuacha moyo wangu salama baada ya kunisaliti live. Nilijifunza vingi kwako ambavyo mpaka sasa nikikutana na mwanamke anavyo sitakuwa na mahusiano nae.
1. Ni mwongo kiwango cha lami na simu zake zimepandiliana pin kila sehemu.
2. Muda wote anachat whatsapp sms fb... n.k lakini ukiotea simu yake haina sms hata moja. Zinaendaga wapi?
3. Kuna siku alinidanganya kuwa anaenda sehemu sitaki kuitaja humu ila cha ajabu nikamkuta yuko na lijamaa lenye pesa zake. Hakuniona nilipokuja kumuuliza ana tabia ya kujihami kwa kukasirika. Whats the hell is this.
4. Nilikuwa mwaminifu kwa sababu niliona ni mzuri sana kwa sura na wote ni waajiriwa wa serikalini. Sikuona haja ya kuleta magonjwa ndani... Kila niliyemwona sikuona kama anamzidi but one day you gave me STIs na nilipomuuliza whats this f**ck ulinirudishia mpira.
4. Ni miaka miwili tangu tuachane nilimwomba Mungu akanipa "Vmoney". Wallah sijajuta kumpata. Mwanzoni nilidhani wanawake wote wako kama wewe... kumbe kuna watu na viatu. I love V but huwa naomba nisikutane na wewe kwani nikikuona I see all the things in you. Nakuona kwa ndani wengi wasivyokufahamu.
Kama bado hujapata mchumba Lucy badili kwanza tabia... Nahisi mimi sio wa kwanza kunifanyia hivyo. Muda unaenda two years later utakuwa na mwonekano mwingine. Angalia future yako sio sura ya sasa.
Nakuambia utashangaa..... seriously utabiri wangu hujawahi kumwacha mtu salama. Samahani wanajukwaa kwa kuleta agenda yenye ukweli mtupu. Bila hata ya chenga la hata jina la mhusika
TrueChadema
Shadeya hili jina wallah wabilah limenitesa bila kusahau sakayo na kapeace mungu awabariki