Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,060
- 188,055
sio poa
sio poa
yaani wamemwagika ni hatariIla Me mmejua kufunguka. 😀😀😀
jamani jamaniFelister na Anna haya majina yalinitesa sana
Ha ha ha ha ga ,tazama vzr mbn mm nimeliona juu kidg tu apoHatimaye nimefika mwisho wa comment jina langu halipo
Ha ha ha ,uyu mshkj wangu wa APA ubungo kona,Innocent...mshenzi sana
Nipo Atoto,Hivi upo hapahapa duniani
Dah we jamaa ni nouma sio kwa maombi hayo,coletha ex wangu mbuzi mwenye minyoo kabisa wewe, tena familia yenu ipigike hivo hivo dingi yako asipate hata buku ya nauli *"£##£# kabisa yaani jua la shida liwawakie hadi mpoteane humo ndani kwenu na dalili zishanza kuonekana
Nilikuthamini kumbe kis** mi tu wewe nyoooo
Dah we jamaa ni nouma sio kwa maombi hayo,coletha ex wangu mbuzi mwenye minyoo kabisa wewe, tena familia yenu ipigike hivo hivo dingi yako asipate hata buku ya nauli *"£##£# kabisa yaani jua la shida liwawakie hadi mpoteane humo ndani kwenu na dalili zishanza kuonekana
Nilikuthamini kumbe kis** mi tu wewe nyoooo
Hahah!Yaani nkisikia jina la Atukelamwike najisikia kichefuchefu
Niliteseka sana kwa ajili ya mtu mwenye jina kama wewejamani jamani
Hapana, Sikutaki, Sikupendi
Nimekumiss ujue!Nipo Atoto,
Duh...Anitha anitha anitha, we kiboko mtoto wa kihaya!
Nilidet na WEWE afu nakuja kukupima nakukuta una HIV+, imagine umemgegeda mtu kavu kavu, afu unampina, unamkuta hivo,kipi utafanya? Nilishawah kutoa ushuhuda Mara baada ya kutumia PEP, na Niko poa mpka Sasa, ila Anitha,Mungu anakuona
Na utakuta wao ndio zaidi katika kuumiza ila hapa wote wameumizwa wao hawajaumiza wenzao. Hahahaaaaaa.yaani wamemwagika ni hatari
Usishangae Shadeeya ndo Dunia ilivyo!Aiseeee!
Pole sana aiseee.Usishangae Shadeeya ndo Dunia ilivyo!
Jina lingine la kulaaniwa kwangu ni TECNO!
TECNO TECNO TECNO!!
Yaani nilijichanga mwenyewe nimiliki simu janja nikaangukia mikononi mwa huyu TECNO
alichonifanyia baada ya miezi mitatu daaah!
Bora ningebaki na kitochi changu na zingine nikanywea biere!!!