Huyu bhana pamoja na kuzaliwa kipindi cha uhuru lakini dalili zinaonesha anaenda kukuza uhuru wa kufurahia demokrasia hapa nchini.
Ninatamani sana kesi yake ingurume ili tuone matendo ya kigaidi aliyoyafanya ili nilinganishe na ya Ole Sabaya na ya Mnyeti halafu ikiwezekana afungwe kabisa si mchezo.
Wakati mwingine unawaza pia kwa kuwa inasemekena anaumwa, hivi ikitokea anafariki mikononi mwao itakuwaje?
Tunakosa hekima na busara katika kiwango cha kutisha! Ninamkumba JK kwa kweli!
Ninatamani sana kesi yake ingurume ili tuone matendo ya kigaidi aliyoyafanya ili nilinganishe na ya Ole Sabaya na ya Mnyeti halafu ikiwezekana afungwe kabisa si mchezo.
Wakati mwingine unawaza pia kwa kuwa inasemekena anaumwa, hivi ikitokea anafariki mikononi mwao itakuwaje?
Tunakosa hekima na busara katika kiwango cha kutisha! Ninamkumba JK kwa kweli!