MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,674
- 6,470
Waende tutachagua wengine
Si ndio furaha yenu CCM? Mnaumia nini sasa? Mbowe ataendelea kuwa mwenyekiti miaka mingine 20hivi kwa nini mbowe asitumie busara kujiuzulu... chama kinaangamia na kuteketea yeye anakula bata...
Brother brotherGulio la ccm toka mashamba ya upinzani linaendelea kama kawaida
Sasa mwanamke akikuacha si unaoa mwingine? Waache waende tutachagua mwingineTumia akili asilimia 0.00001 mkuu. Mke/Mume wako akiindoka nyumbani na kuhamia kwa hawara huwa hawaendi kuunga mkono, bali wameondoka sababu ya kutofurahishwa na mienendo ya nyumbani kwako.
Wenyeviti wa Vijiji 19 kupitia CHADEMA wilayani Hai wamejiuzulu nyadhifa zao na kujiunga na CCM.
View attachment 858923
View attachment 858919
Naona mambo ni hivi 🔥🔥🔥
jipe moyo... kwa hiyo miaka 20, chadema(chagadema) itakua imeshakufa, imezikwa na kusahaulika kabisa hapa duniani..Si ndio furaha yenu CCM? Mnaumia nini sasa? Mbowe ataendelea kuwa mwenyekiti miaka mingine 20
Si ndio furaha yenu? Ila nikuhakikishie Hutakufa kabla hujaiacha CCM ikiwa ni chama cha upinzanijipe moyo... kwa hiyo miaka 20, chadema(chagadema) itakua imeshakufa, imezikwa na kusahaulika kabisa hapa duniani..
ukiona mpaka ngome kuu ya chadema inabomolewa (MOSHI,ARUSHA) ujue hali ni mbaya sana, kila kitu kina mwanzo na mwisho, chadema ndio imefika mwisho wake mzee...Si ndio furaha yenu? Ila nikuhakikishie Hutakufa kabla hujaiacha CCM ikiwa ni chama cha upinzani
Ni rahisi kunena kuliko kutenda kamanda.Sasa mwanamke akikuacha si unaoa mwingine? Waache waende tutachagua mwingine
Kumbe unakiri inabomolewa ee? Inabomolewa na Nani? Kuna tofauti kubwa Kati ya kubomolewa na kubomoka. Kama inabomolewa basi walioijenga wataijenga tena. Mbaya ingekuwa inabomoka yenyewe! Asante kwa kujua kuwa CCM mnanunua wapinzaniukiona mpaka ngome kuu ya chadema inabomolewa (MOSHI,ARUSHA) ujue hali ni mbaya sana, kila kitu kina mwanzo na mwisho, chadema ndio imefika mwisho wake mzee...
Ukiona wanalia ujue hao wanaume walikuwa wanalelewa!Ni rahisi kunena kuliko kutenda kamanda.
Pitia MMU uone vijana wanavyobubujikwa kwa kuachwa na wanawake.
Utafiti wako umeufanyia wapi?Hivi wananchi wa kawaida mbona hawanunuliki?
Maana asilimia kubwa bado wana misimamo yao ileile na bado hawaoni hayo maendeleo yanayosemwa.
Sina hakika na hapo kwenye kulelewa! Ila ukiachwa na mwanamke katika hali yoyote tena haswa kwa kushtukizwa hata ukiwa Mengi utatetereka kichwani.Ukiona wanalia ujue hao wanaume walikuwa wanalelewa!
chadema inabomolewa na ubora, ufanisi wa kazi njema, bora, na mahususi za serikali ya awamu ya tano.. mwaka 2020 mbowe anarudi mtaani mzeee nakushauri mpokee kwa mikono miwili...Kumbe unakiri inabomolewa ee? Inabomolewa na Nani? Kuna tofauti kubwa Kati ya kubomolewa na kubomoka. Kama inabomolewa basi walioijenga wataijenga tena. Mbaya ingekuwa inabomoka yenyewe! Asante kwa kujua kuwa CCM mnanunua wapinzani
Mbowe ana miliki casino sawa na trump anavyomiliki casino.Endelea kumsifu lakini msimamo wangu ni kwamba sijawahi sikia dunia nzima muendesha Casino akageuka kuwa mtu wa maana na baadaye apewe kuongoza nchi. Where on earth?