Mheshimiwa Mabere Marando aanze kutrot achukue tena jimbo lake kiulaini.8.Rorya liko wazi kabisa........................
Hivi hilo jimbo lishawahi kuwa chini ya Upinzani?
Jimbo la mbozi kwa Nzunda linaweza chukuliwa jamaa kapima upepo hatasimama!!
Tuko pamoja Malabata. Tutetee jimbo letu bwana sio akina Tuntemeke wanazusha mambo ya Arumeru wakati kwao ndo hivyo tena. Nikikumbukaga yale madini ya Ujuni! Ule mchezo sitakaa nisahau.Na makete nao tumeshawasha moto wa mageuzi,Lakini kunavizee fulani vilaza wamechana bendera yetu nakutupa choo,Vijana tumeshaliwasilisha swala hili police limeanza kushughulikiwa,Mkitaka kulijua swala hili mtafuteni m/kiti Chadema wilaya ya makete.Nawasilisha
Jimbo la Rombo,hili linaweza kurudi ccm kama mbunge wa sasa atarudi kugombea,maana mbunge wa sasa wa cdm joseph selasini hamna alihofanya zaidi ya kung'ang'ania posho bungeni. Na tabia ya warombo huwa hawaangalii chama bali mtu. mramba analitambua hili sana alivyowekwa kando na wananhi akapewa salakana,salakana naye hakuwa na tofauti kama alivyo selasini wa sasa raia wakapiga chini. Ndani ya mfumo wa chama kimoja. upinzani ulikuwepo pia,wananhi walikuwa wakibadilisha mbunge pale anapokuwa hajafanya lolote,hivyo ilikuwa ni bandika bandua kati ya Mramba na hayati Ngalai. So CDM take a note,yasije yakajirudia kama awali mlivyolipoteza jimbo mikononi mwa Salakana.