Jimbo la Vunjo lina maendeleo kuliko jimbo la Temeke

Makupa

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
5,024
2,553
Nimekua nikitembelea jimbo la Vunjp mkoani kilimjaro mara kwa mara na nilichogundua ni kwamba:

1.Jimbo lina shule za sekondari tatu hadi nne kwa kata moja.
2.Hospitali nzuri na zenye mazingira mazuri mfano kilema hospital,Marangu hospital,faraja hospital,.
3.Barabara zinapitika muda wote wa mwaka.
4.Makazi bora kabisa ya kuishi binadamu na sio msangamano wa nyumba kiasi cha kuruka kinyesi ili uweze kuingingia nyumbani kwako mfano wa nyumba zilizopo Keko Mwanga.
5.Hudumq ya maji ni ya kuridhisha saaana.

Tahadhari,haya maendeleo hayajaletwa Mbatia wala Mrema bali ni juhudi za kanisa kwa kushirikiana na serikali.

Nawasilisha wakuu na hongereeni mnoo watu mnaoishi jimbo la Vunjo ila ili mzidi kupaa kimaendelea ni lazima sasa kuhakikisha kuwa mnatuletea mbunge wa kushirikiana na serikali na si wa kupingana na serikali.
 
Nimekua nikitembelea jimbo la Vunjp mkoani kilimjaro mara kwa mara na nilichogundua ni kwamba:

1.Jimbo lina shule za sekondari tatu hadi nne kwa kata moja.
2.Hospitali nzuri na zenye mazingira mazuri mfano kilema hospital,Marangu hospital,faraja hospital,.
3.Barabara zinapitika muda wote wa mwaka.
4.Makazi bora kabisa ya kuishi binadamu na sio msangamano wa nyumba kiasi cha kuruka kinyesi ili uweze kuingingia nyumbani kwako mfano wa nyumba zilizopo Keko Mwanga.
5.Huduma ya maji ni ya kuridhisha saaana.

Tahadhari,haya maendeleo hayajaletwa Mbatia wala Mrema bali ni juhudi za kanisa kwabkushirikiana na serikali.

Nawasilisha wakuu na hongereeni mnoo watu mnaoishi jimbo la Vunjo ila ili mzidi kupaa kimaendelea ni lazima sasa kuhakikisha kuwa mnatuletea mbunge wa kushirikiana na setikali na si wa kupingana na serikali.
Akija huyo unayemtaka(kutoka mrengo unaoutaka) na maendeleo yatapotea,it'll be a reverse gear which nobody wants.
Huna nia njema nao,nadhani ni wivu wa jinsi walivyoendelea bila ya misaada ya wa waduanzi unaokusumbua.
 
Akija huyo unayemtaka(kutoka mrengo unaoutaka) na maendeleo yatapotea,it'll be a reverse gear which nobody wants.
Huna nia njema nao,nadhani ni wivu wa jinsi walivyoendelea bila ya misaada ya wa waduanzi unaokusumbua.
Hee,kwani nimesema ninaemtaka mkuu?au wewe umekuwa na hisia badala ya ukweli ?
 
Akija huyo unayemtaka(kutoka mrengo unaoutaka) na maendeleo yatapotea,it'll be a reverse gear which nobody wants.
Huna nia njema nao,nadhani ni wivu wa jinsi walivyoendelea bila ya misaada ya wa waduanzi unaokusumbua.
Mbunge wa sasa kawa kama bubu hatumsikii hata kule bungeni na kibaya zaidi wanachi wa jimbo lake umeme umeongezeka bei yeye kimya tu
 
Kwamba huko Vunjo Mkinunua Umeme mnatozwa Bei zenu tofauti na Watanzania wengine watumiao LUKU??
Kwa wananchi wa vijijini mkuu,ulikuwa ukinunua umeme wa shilingi elfu kumi iliweza pata unit hadi 60 kwa sasa ni unit 28 tu sawa na wakazi wa mijini sijui vijiji vingine bei ikoje
 
Mbunge wa sasa kawa kama bubu hatumsikii hata kule bungeni na kibaya zaidi wanachi wa jimbo lake umeme umeongezeka bei yeye kimya tu
Debe tupu haliachi kuvuma na action speaks louder than words.

Acha waendelee na utaratibu wao pamoja na uongozi wao kwani ndivyo vinavyowafanya uone hayo maendeleo yaliyofikiwa,hebu linganisha na asilimia kubwa ya wilaya zenye MPs wa chama chako pendwa ili uone aibu.

Let them be,what you saw justifies their choice.
 
Kwa wananchi wa vijijini mkuu,ulikuwa ukinunua umeme wa shilingi elfu kumi iliweza pata unit hadi 60 kwa sasa ni unit 28 tu sawa na wakazi wa mijini sijui vijiji vingine bei ikoje
Usichokijua Uliza kuliko úkajifanya mjuaji na Mpotoshaji.

Bei kwa unit hutegemea mteja yupo Tariff gani bila kujali ni wa mjini au kijijini.

Kama Matumizi ya Mteja hayazidi unit 70 kwa mwezi mshauri akaombe kubadilishwa Tariff ili aweze kuwekwa kwenye Tariff ya chini zaidi ambapo average cost per unit ni sh 100.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Nimekua nikitembelea jimbo la Vunjp mkoani kilimjaro mara kwa mara na nilichogundua ni kwamba:

1.Jimbo lina shule za sekondari tatu hadi nne kwa kata moja.
2.Hospitali nzuri na zenye mazingira mazuri mfano kilema hospital,Marangu hospital,faraja hospital,.
3.Barabara zinapitika muda wote wa mwaka.
4.Makazi bora kabisa ya kuishi binadamu na sio msangamano wa nyumba kiasi cha kuruka kinyesi ili uweze kuingingia nyumbani kwako mfano wa nyumba zilizopo Keko Mwanga.
5.Hudumq ya maji ni ya kuridhisha saaana.

Tahadhari,haya maendeleo hayajaletwa Mbatia wala Mrema bali ni juhudi za kanisa kwa kushirikiana na serikali.

Nawasilisha wakuu na hongereeni mnoo watu mnaoishi jimbo la Vunjo ila ili mzidi kupaa kimaendelea ni lazima sasa kuhakikisha kuwa mnatuletea mbunge wa kushirikiana na serikali na si wa kupingana na serikali.
Vunjo huko ni noma ukipita barabara za huko mlimani Darajani Sec unaweza fikiria upo Humberg Ujerumani. Halafu maendeleo kwa upande wa kilema yameletwa na kanisa katoliki pamoja na serikali kwa upande wa marangu, mwika huko yameletwa na kanisa la kilutheri pamoja na serikili yaani vunjo hamna vijiji kila sehemu mjini.
 
umeanza vizuri aya ya mwisho ukamaliza na upupu
Nimekua nikitembelea jimbo la Vunjp mkoani kilimjaro mara kwa mara na nilichogundua ni kwamba:

1.Jimbo lina shule za sekondari tatu hadi nne kwa kata moja.
2.Hospitali nzuri na zenye mazingira mazuri mfano kilema hospital,Marangu hospital,faraja hospital,.
3.Barabara zinapitika muda wote wa mwaka.
4.Makazi bora kabisa ya kuishi binadamu na sio msangamano wa nyumba kiasi cha kuruka kinyesi ili uweze kuingingia nyumbani kwako mfano wa nyumba zilizopo Keko Mwanga.
5.Hudumq ya maji ni ya kuridhisha saaana.

Tahadhari,haya maendeleo hayajaletwa Mbatia wala Mrema bali ni juhudi za kanisa kwa kushirikiana na serikali.

Nawasilisha wakuu na hongereeni mnoo watu mnaoishi jimbo la Vunjo ila ili mzidi kupaa kimaendelea ni lazima sasa kuhakikisha kuwa mnatuletea mbunge wa kushirikiana na serikali na si wa kupingana na serikali.
 
Kwa wananchi wa vijijini mkuu,ulikuwa ukinunua umeme wa shilingi elfu kumi iliweza pata unit hadi 60 kwa sasa ni unit 28 tu sawa na wakazi wa mijini sijui vijiji vingine bei ikoje
Sasa unalalamika nini?Si umesema mmeendelea kuliko sisi Wa tmk.Bei ya umeme ilistahili ilalamikiwe na wa tmk kwa mujibu Wa maelezo yako sio nyinyi.Tanesco wako sawa kabisa
 
Debe tupu haliachi kuvuma na action speaks louder than words.

Acha waendelee na utaratibu wao pamoja na uongozi wao kwani ndivyo vinavyowafanya uone hayo maendeleo yaliyofikiwa,hebu linganisha na asilimia kubwa ya wilaya zenye MPs wa chama chako pendwa ili uone aibu.

Let them be,what you saw justifies their choice.
Usichokijua Uliza kuliko úkajifanya mjuaji na Mpotoshaji.

Bei kwa unit hutegemea mteja yupo Tariff gani bila kujali ni wa mjini au kijijini.

Kama Matumizi ya Mteja hayazidi unit 70 kwa mwezi mshauri akaombe kubadilishwa Tariff ili aweze kuwekwa kwenye Tariff ya chini zaidi ambapo average cost per unit ni sh 100.
sio kweli matumizi yangu hapa kijijini hayazidi unit 20 kwa mwezi ,l
 
Sasa unalalamika nini?Si umesema mmeendelea kuliko sisi Wa tmk.Bei ya umeme ilistahili ilalamikiwe na wa tmk kwa mujibu Wa maelezo yako sio nyinyi.Tanesco wako sawa kabisa
Acha upuuuzi kwa kuendelea ndio umastahili kulipia gharama at premium mkuu,lazima uwe na savings ndio uweze kuwekeza na savings mkuu zinapatikana kwa kubana matumizi mkuu
 
Back
Top Bottom