Jimbo la Texas Nchini Marekani latangaza mgao wa umeme

Texas sio Mkoa, ni Jimbo la Pili kwa Ukubwa Marekani kwa Ukubwa wa Eneo na Wingi wa Watu.

Texas ndilo jimbo lenye kuzalisha umeme mwingi Marekani

Sababu ya Umeme kukatwa ni kutokana na hali ya hewa kuwa ya ubaridi mno kiasi cha kuathiri mifumo ya usafirishaji kwani baridi ni -22 C
Pia barafu imetanda kila mahali.

Texas ni Robo 3 ya Tanzania kwa eneo maana ina 695000km za mraba wakati Tanzania ni 98000km + za mraba

Ina watu 29mil ambayo asilimia 50 ya Tanzania.

Kipato kwa kila mtu ni zaidi ya Milioni 140.

Kuita Texas mkoa ni kosa kubwa mno.
Umeeleweka vyema zaidi ya mleta mada
 
Naona taarifa ijasema kwamba umeme kukatika ni kutokana na hali ya hewa mbaya.

Wabongo wanataka kufananisha mgao wao.
 
Naona taarifa ijasema kwamba umeme kukatika ni kutokana na hali ya hewa mbaya.

Wabongo wanataka kufananisha mgao wao.
Texas wanatumia sana umeme wa windmills, ni jimbo la kwanza kutumia umeme wa windmills. Zaidi hata ya California.

Sasa na hili arctic chill lilivyopiga na kumwaga snow windmills zimeshindwa kufanya kazi. Hii ni moja ya sababu kumekuwa na matatizo ya umeme.

Jana kuna mtu nilikuwa naongea naye kazini, yuko huko. Anasema hajawahi kuona hali hii.

Miaka 15 iliyopita nilienda kumtembelea dada yangu huko, nimetoka zangu New York kipindi cha baridi. Nimevaa makoti yangu ya baridi. Kufika Texas ikawa joto kama nimefika Dar!

Watu wa Texas hawajazoea snow.

Unaweza kukuta mtu katoka Texas kaja New York mara ya kwanza anashangaa snow sawa na mtu aliyetoka Tanzania.
 
Texas wanatumia sana umeme wa windmills, ni jimbo la kwanza kutumia umeme wa windmills. Zaidi hata ya California.

Sasa na hili arctic chill lilivyopiga na kumwaga snow windmills zimeshindwa kufanya kazi. Hii ni moja ya sababu kumekuwa na matatizo ya umeme.

Jana kuna mtu nilikuwa naongea naye kazini, yuko huko. Anasema hajawahi kuona hali hii.

Miaka 15 iliyopita nilienda kumtembelea dada yangu huko, nimetoka zangu New York kipindi cha baridi. Nimevaa makoti yangu ya baridi. Kufika Texas ikawa joto kama nimefika Dar!

Watu wa Texas hawajazoea snow.

Unaweza kukuta mtu katoka Texas kaja New York mara ya kwanza anashangaa snow sawa na mtu aliyetoka Tanzania.
Tutafika tu tuje kushangaa anyway kwanini humuamini Mungu na uwepo wake? Nipe sababu tano zilizoshiba.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Kuna mengine kama guam ,puetro Rico, american soma island so U.S majimbo 55 yanafika mkuu
Acha ubishi.
US ina majimbo 50 na jimbo la kiutawala 1 ( Federal State) WDC...

Ina Territories 5 ndio Guam, Virgin Islands, Puerto Rico etc

Tumia hata google basi
 
Uzuri kwa wenzetu changamoto yoyote ile huwa inatafutiwa solution
Kufikia kipindi km hiki mwakani hii ishu itakuwa ipo solved
Mwaka jana kulikuwa na mgao wa umeme mkoani California, mbona sasa imetokea tena mkoani Texas ????

Kwa hiyo "kwa wenzetu" hamna matatizo ya kudumu. Umeshafika "kwa wenzetu"?
 
Mwaka jana kulikuwa na mgao wa umeme mkoani California, mbona sasa imetokea tena mkoani Texas ????

Kwa hiyo "kwa wenzetu" hamna matatizo ya kudumu. Umeshafika "kwa wenzetu"?
Mi si dudu kama wewe,
 
Naona taarifa ijasema kwamba umeme kukatika ni kutokana na hali ya hewa mbaya.

Wabongo wanataka kufananisha na mgao wao
Tofauti ni nini?

Wao baridi sisi kukavu, ukame.

Kwani ukame sio " hali ya hewa mbaya"?

Nyakati za kiangazi maji yanapungua kwenye vinu vya kufua umeme Kidatu, Mtera, n.k. Tunakuwa na mgao kama walivyo na mgao mkoani Texas.

Kwa nini mnaamini "kwa wwnzetu" ni ahera, umewahi kufika?
 
Back
Top Bottom