Jimbo la Texas Nchini Marekani latangaza mgao wa umeme

Mimi ndio nemeelewa vizuri hiyo habari kuwa mgao wa umeme umechangiwa ongezeko la baridi na barafu
 
Texas sio Mkoa, ni Jimbo la Pili kwa Ukubwa Marekani kwa Ukubwa wa Eneo na Wingi wa Watu.

Texas ndilo jimbo lenye kuzalisha umeme mwingi Marekani

Sababu ya Umeme kukatwa ni kutokana na hali ya hewa kuwa ya ubaridi mno kiasi cha kuathiri mifumo ya usafirishaji kwani baridi ni -22 C
Pia barafu imetanda kila mahali.

Texas ni Robo 3 ya Tanzania kwa eneo maana ina 695000km za mraba wakati Tanzania ni 98000km + za mraba

Ina watu 29mil ambayo asilimia 50 ya Tanzania.

Kipato kwa kila mtu ni zaidi ya Milioni 140.

Kuita Texas mkoa ni kosa kubwa mno.

Texas 695,662 km2
Tanzania 947,303 km2
 
Hapana. Umeme haugandi kwenye baridi, barafu haijachangia. Gridi ya mkoa imeelemewa na mahitaji.
Kuelemewa kumekuja sasa hivi tu?,Ina maana unataka kusema matumizi yameongezeka ghafla?..Kitu kisichosemwa ni kwamba,sababu kuu ni Wind turbines zimeganda hazizunguki kutokana na barafu kali,hii imeathiri watu zaidi ya 1M texas wanaotegemea umeme wa upepo.Haya wale wazee wa green new deal na green energy hutowasikia kwa sasa,watasema tu eti miundombunu imezidiwa,general term kama hizo huku ukweli wanaujua.
Yaani Texas na utajiri wa gesi na mafuta uliopo,haikutakiwa kupata tatizo la umeme hata siku moja,.Rais Joe Biden alisha ban uchimbaji wa mafuta na gesi kwenye mashamba ya serikali,kisa wanahamia kwenye green energy kama hizo wind turbines zilizoganda kwenye barafu.Haya wapambane na hali yao...
 
Kuelemewa kumekuja sasa hivi tu?,Ina maana unataka kusema matumizi yameongezeka ghafla?..Kitu kisichosemwa ni kwamba,sababu kuu ni Wind turbines zimeganda hazizunguki kutokana na barafu kali,hii imeathiri watu zaidi ya 1M texas wanaotegemea umeme wa upepo.Haya wale wazee wa green new deal na green energy hutowasikia kwa sasa,watasema tu eti miundombunu imezidiwa,general term kama hizo huku ukweli wanaujua.
Yaani Texas na utajiri wa gesi na mafuta uliopo,haikutakiwa kupata tatizo la umeme hata siku moja,.Rais Joe Biden alisha ban uchimbaji wa mafuta na gesi kwenye mashamba ya serikali,kisa wanahamia kwenye green energy kama hizo wind turbines zilizoganda kwenye barafu.Haya wapambane na hali yao...
MIMAREKANI akili haina wanategemea chanzo kimoja tu cha nishati ona sasa!! WAje wajifunze Tanzania
 
Texas is known for its sprawling deserts and excruciating heatwaves - but right now, it's blanketed in a thick layer of ice.

The state is seeing some of its coldest temperatures in more than 30 years, with some areas breaking records that are more than a century old.

Parts of Texas hit 0F (-18C) on Sunday, and weather warnings are going to stay in place through the week.

So why is this normally boiling state suddenly freezing over?

According to the US National Weather Service (NWS), this is down to an "Arctic outbreak" that originated just above the US-Canada border, bringing a winter snow storm as well as plummeting temperatures.

Cold air outbreaks such as these are normally kept in the Arctic by a series of low-pressure systems, the NWS said. However, this one moved through Canada and spilled out into the US last week.(BBC)
 
Texas sio Mkoa, ni Jimbo la Pili kwa Ukubwa Marekani kwa Ukubwa wa Eneo na Wingi wa Watu.

Texas ndilo jimbo lenye kuzalisha umeme mwingi Marekani

Sababu ya Umeme kukatwa ni kutokana na hali ya hewa kuwa ya ubaridi mno kiasi cha kuathiri mifumo ya usafirishaji kwani baridi ni -22 C
Pia barafu imetanda kila mahali.

Texas ni Robo 3 ya Tanzania kwa eneo maana ina 695000km za mraba wakati Tanzania ni 98000km + za mraba

Ina watu 29mil ambayo asilimia 50 ya Tanzania.

Kipato kwa kila mtu ni zaidi ya Milioni 140.

Kuita Texas mkoa ni kosa kubwa mno.
Umemuumbua!

Point aliyotaka kutuonyesha kuwa hta marekani kuna mgao wa umeme kwa hio tulioko huku dunia ya tatu tusilalamike

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Kuelemewa kumekuja sasa hivi tu?,Ina maana unataka kusema matumizi yameongezeka ghafla?..Kitu kisichosemwa ni kwamba,sababu kuu ni Wind turbines zimeganda hazizunguki kutokana na barafu kali,hii imeathiri watu zaidi ya 1M texas wanaotegemea umeme wa upepo.Haya wale wazee wa green new deal na green energy hutowasikia kwa sasa,watasema tu eti miundombunu imezidiwa,general term kama hizo huku ukweli wanaujua.
Yaani Texas na utajiri wa gesi na mafuta uliopo,haikutakiwa kupata tatizo la umeme hata siku moja,.Rais Joe Biden alisha ban uchimbaji wa mafuta na gesi kwenye mashamba ya serikali,kisa wanahamia kwenye green energy kama hizo wind turbines zilizoganda kwenye barafu.Haya wapambane na hali yao...
Uzuri wa wenzetu changamoto yoyote ile huwa inatafutiwa solution

Kufikia kipindi km hiki mwakani hii ishu itakuwa ipo solved

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 

Kama ilivyokuwa kwa mkoa wa California mnamo mwaka jana sasa mambo si mambo viunga vya Texas ambapo mahitaji ya nishati ya umeme yamezidi ugavi, na miundombinu imeelemewa.

Watu wapatao milioni mbili wako gizani. Viongozi wa kisiasa na kijamii wamewaomba wakazi wa baadhi ya viunga vya mkoa huo, ikiwemo wilaya Harris na mji wake mkubwa wa Houston, wajifungie ndani maana nje si salama. Mstahiki Meya Slyveater Turner wa jiji la Houston amelitupia lawana shirika na ugavi wa umeme ERCOT lililotangaza mgao huo na kusema anataka majibu.

Mkuu wa Mkoa wa Texas bwana Greg Abbott amemuomba Rais Biden atangaze hali ya hatari na kuelekeza misaada mkoani humo.

CNN News
Washington Post
The Texas Tribune
Huyu rais kaharibu uchumi kwa muda mfupi alioingia kwa office, sasa watt kutoka majimbo mengine wanakimbilia Texas, kwani kodi na Mazingira ya biashara ni Rafiki, hivyo uhitaji wa nishati na huduma nyingine ni Mkubwa sana, Kiongozi anayetaka kuinua Taifa Lake kiuchumi ajifunze kutoka Texas.
 
Huyu rais kaharibu uchumi kwa muda mfupi alioingia kwa office, sasa watt kutoka majimbo mengine wanakimbilia Texas, kwani kodi na Mazingira ya biashara ni Rafiki, hivyo uhitaji wa nishati na huduma nyingine ni Mkubwa sana, Kiongozi anayetaka kuinua Taifa Lake kiuchumi ajifunze kutoka Texas.
Wanaita the great exodus ....
 
  • Thanks
Reactions: Lob
Hali si shwari kwakweli,kwa nchi ambayo kuna hali ya baridi kali namna hiyo halafu hakuna umeme ni hatari sana...
 

Kama ilivyokuwa kwa mkoa wa California mnamo mwaka jana sasa mambo si mambo viunga vya Texas ambapo mahitaji ya nishati ya umeme yamezidi ugavi, na miundombinu imeelemewa.

Watu wapatao milioni mbili wako gizani. Viongozi wa kisiasa na kijamii wamewaomba wakazi wa baadhi ya viunga vya mkoa huo, ikiwemo wilaya Harris na mji wake mkubwa wa Houston, wajifungie ndani maana nje si salama. Mstahiki Meya Slyveater Turner wa jiji la Houston amelitupia lawana shirika na ugavi wa umeme ERCOT lililotangaza mgao huo na kusema anataka majibu.

Mkuu wa Mkoa wa Texas bwana Greg Abbott amemuomba Rais Biden atangaze hali ya hatari na kuelekeza misaada mkoani humo.

CNN News
Washington Post
The Texas Tribune

Tirampu anamuhujumu Jo badeni ,inatakiwa jo badeni afukuze masalia ya tirampu ili aongoze vizuri.
 
Texas sio Mkoa, ni Jimbo la Pili kwa Ukubwa Marekani kwa Ukubwa wa Eneo na Wingi wa Watu.

Texas ndilo jimbo lenye kuzalisha umeme mwingi Marekani

Sababu ya Umeme kukatwa ni kutokana na hali ya hewa kuwa ya ubaridi mno kiasi cha kuathiri mifumo ya usafirishaji kwani baridi ni -22 C
Pia barafu imetanda kila mahali.

Texas ni Robo 3 ya Tanzania kwa eneo maana ina 695000km za mraba wakati Tanzania ni 98000km + za mraba

Ina watu 29mil ambayo asilimia 50 ya Tanzania.

Kipato kwa kila mtu ni zaidi ya Milioni 140.

Kuita Texas mkoa ni kosa kubwa mno.
Umesahau na GDP yao ni kubwa mno
 
Back
Top Bottom