Mfikiri
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 586
- 124
Kwa ufupi na taarifa rasmi nilizopata pale SHINYANGA MJINI hali si nzuri na Halimashauri ya mji ilishapigwa moto juzi...... matokeo ya ubunge yalitangazwa mida ya sa moja usiku jumatatu CHADEMA yeeeeeeeeeeeeeee..... lakini cha kushangaza baaada Eya saa moja na nusu hivi ikatangazwa SISIEMU wameshinda... msimamizi wa uchaguzi akasema alitangaza ili wana CHADEMA waondoke kwanza wapunguze msongamano. JAMANI NAOMBA WANA JF WA SHY WATUPE more details on this issuee.... latest info... Mbowe alifika j4 na mwana CHADEEEE[anaitwa muuza kuku] haja tia mkono wa kukubali matokeo...Tupeni info SHYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYY