Malick M. Malick
JF-Expert Member
- Apr 2, 2013
- 647
- 304
Wana Lindi wenzangu habari
Leo nimependa niwakumbushe wakati tunaenda katika uchaguzi mkuu ,
Nina waomba Wana Lindi bila kujali ITIKADI, Jimbo la Ruangwa tumuache waziri mkuu ,mhe KASIMU MAJALIWA apite bila kupingwa ,ni heshima Kwa mikoa yetu ya kusini, Sisi sio wa Kwanza kufanya hivyoo
Mikoa ya Rukwa na Katavi, walimuacha Mhe Pinda apite bila kupingwa mwaka 2010 tena upinzani nchini ulikua upinzani kweli kweli, aliekuawa makamu mwenyekiti wa CHADEMA mhe Afi aliwaambia CHADEMA waziri mkuu kutoka mikoa Yao ni heshima, pamoja kuwa ni demokrasia lakini wao wameamua kutumia demokrasia kumuacha apite bila kupingwa na ikawa hivyo .
Niwaombe Wana Lindi bila kujali vyama vyetu ,tunajua na wapinzani wanajua ,na dunia inajua kuwa mhe Majaliwa atashinda uchaguzi na kuwa mbunge
Kwa mazingira kama hayo tuamue kutumia demokrasia ya kumuachia apite bila kupingwa kila mtu anajua utendaji wake, ni mtu wa mfano, amefanya makubwa Sana katika Jimbo la Ruangwa
Iwa mwema
MALIKI MALIKI
Leo nimependa niwakumbushe wakati tunaenda katika uchaguzi mkuu ,
Nina waomba Wana Lindi bila kujali ITIKADI, Jimbo la Ruangwa tumuache waziri mkuu ,mhe KASIMU MAJALIWA apite bila kupingwa ,ni heshima Kwa mikoa yetu ya kusini, Sisi sio wa Kwanza kufanya hivyoo
Mikoa ya Rukwa na Katavi, walimuacha Mhe Pinda apite bila kupingwa mwaka 2010 tena upinzani nchini ulikua upinzani kweli kweli, aliekuawa makamu mwenyekiti wa CHADEMA mhe Afi aliwaambia CHADEMA waziri mkuu kutoka mikoa Yao ni heshima, pamoja kuwa ni demokrasia lakini wao wameamua kutumia demokrasia kumuacha apite bila kupingwa na ikawa hivyo .
Niwaombe Wana Lindi bila kujali vyama vyetu ,tunajua na wapinzani wanajua ,na dunia inajua kuwa mhe Majaliwa atashinda uchaguzi na kuwa mbunge
Kwa mazingira kama hayo tuamue kutumia demokrasia ya kumuachia apite bila kupingwa kila mtu anajua utendaji wake, ni mtu wa mfano, amefanya makubwa Sana katika Jimbo la Ruangwa
Iwa mwema
MALIKI MALIKI