Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Tangu asubuhi jimbo la Musoma Mjini limetaliwa na kelele za Mabomu ya shabaha yanayofanywa na FFU mkoa wa Mara maeneo ya Kamnyonge/ Nyamatare.
Mida ya jioni nimeshuhudia askari wengi wa FFU wakiwa kwenye gari mbili huku wamevalia mavazi yao yaliyopambwa na Mabomu ya machozi wakiranda randa maeneo ya mjini Kati.
Je wanatishia wananchi wa Musoma mjini? Ambao wameonesha wazi hawamtaki mgombea wa CCM ndugu Mathayo na wanamhitaji wa moyo mmoja mgombea wa CHADEMA ndugu Mwita.
Nimepita maeneo ya kambi ya FFU pale Kamunyonge nimekuta gari la maji ya kuwasha linafanyiwa service,hii yote ni kukabiriana na raia wa Musoma ambao wameonesha wazi hawaitaki CCM hawamtaki Mathayo.
CCM acheni kung'ang'ania madaraka na kutumia vyombo vya dola mmbaki madarakani,mmeshachokwa mmekataliwa na wananchi.
Mida ya jioni nimeshuhudia askari wengi wa FFU wakiwa kwenye gari mbili huku wamevalia mavazi yao yaliyopambwa na Mabomu ya machozi wakiranda randa maeneo ya mjini Kati.
Je wanatishia wananchi wa Musoma mjini? Ambao wameonesha wazi hawamtaki mgombea wa CCM ndugu Mathayo na wanamhitaji wa moyo mmoja mgombea wa CHADEMA ndugu Mwita.
Nimepita maeneo ya kambi ya FFU pale Kamunyonge nimekuta gari la maji ya kuwasha linafanyiwa service,hii yote ni kukabiriana na raia wa Musoma ambao wameonesha wazi hawaitaki CCM hawamtaki Mathayo.
CCM acheni kung'ang'ania madaraka na kutumia vyombo vya dola mmbaki madarakani,mmeshachokwa mmekataliwa na wananchi.