Jimbo la Misungwi Mwanza lina ongozwa na chama gani kwa sababu wananchi wa jimbo hili wana shida sana ya miundombinu kama vile maji umeme na barabara

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,266
Nimesikia mwenyekiti wa chama na serikali akisema kuwa majimbo yanayo ongozwa na ccm yana piga hatua kimaendeleo swali langu misungwi Mwanza lina ongozwa na chama gani kwa sababu wananchi wa jimbo hili wana shida sana ya miundombinu kama vile maji umeme na barabara nyingi ni za vumbi au tuna angalia Singida kwa kuwa lilikuwa lina ongozwa na upinzani

1568646552533.jpeg
 
Nime sikio mwenyekiti wa chama na serikali akisema kuwa majimbo yanayo ongozwa na ccm yana piga hatua kimaendeleo swali langu misungwi Mwanza lina ongozwa na chama gani kwa sababu wananchi wa jimbo hili wana shida sana ya miundombinu kama vile maji umeme na barabara nyingi ni za vumbi au tuna angalia Singida kwa kuwa lilikuwa lina ongozwa na upinzani

View attachment 1209134
Mkuu wasamehe kwakuwa hawajui walisemalo
 
We umepotezea wapi uzalendo?? Mnajiuza kwa mabeberu na kuonesha mabaya tu. Kukosa maji tu ndio kelele hizi??
 
Nime sikio mwenyekiti wa chama na serikali akisema kuwa majimbo yanayo ongozwa na ccm yana piga hatua kimaendeleo swali langu misungwi Mwanza lina ongozwa na chama gani kwa sababu wananchi wa jimbo hili wana shida sana ya miundombinu kama vile maji umeme na barabara nyingi ni za vumbi au tuna angalia Singida kwa kuwa lilikuwa lina ongozwa na upinzani

View attachment 1209134

Kwani ww bado unamchukuliaga seriously?
 
Nime sikio mwenyekiti wa chama na serikali akisema kuwa majimbo yanayo ongozwa na ccm yana piga hatua kimaendeleo swali langu misungwi Mwanza lina ongozwa na chama gani kwa sababu wananchi wa jimbo hili wana shida sana ya miundombinu kama vile maji umeme na barabara nyingi ni za vumbi au tuna angalia Singida kwa kuwa lilikuwa lina ongozwa na upinzani

View attachment 1209134
Sidhani kama nchi hii itakuja kupata kiongozi wa kiwango cha chini tena kama huyu jamaa , ni aibu sana ! yaani hana tofauti na DC ! Ama kweli alichotufanyia Kikwete Mungu anajua .
 
Mbona kama wanasubiria tanker lianguke,hapo ni kwa mawe matatu jina lingine kitwanga mpambe wa jiwe wakti anamposa mama j
Nimesikia mwenyekiti wa chama na serikali akisema kuwa majimbo yanayo ongozwa na ccm yana piga hatua kimaendeleo swali langu misungwi Mwanza lina ongozwa na chama gani kwa sababu wananchi wa jimbo hili wana shida sana ya miundombinu kama vile maji umeme na barabara nyingi ni za vumbi au tuna angalia Singida kwa kuwa lilikuwa lina ongozwa na upinzani

View attachment 1209134
 
Back
Top Bottom