Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,488
Habar JF!.
Napenda kusikiliza kipindi cha Radio Tumaini asubh kwenye Kero. Leo wameongelea kero kwenye kijiji cha Kipinga lipo jimbo la mh Lukuvi. Wananchi wanakunywa maji machafu,hapo ndio kati lakin hawana sekondari. Pia tangu Mh ameingia madarakani hajawahi kufika hapo kuongea na wananchi.
Hivi hawa viongozi wakiwa wanaomba uongozi hua wanaongoza watu au picha za watu?
Tutafika kweli kwenye maendeleo?
SOurce Radio Tumaini.
Napenda kusikiliza kipindi cha Radio Tumaini asubh kwenye Kero. Leo wameongelea kero kwenye kijiji cha Kipinga lipo jimbo la mh Lukuvi. Wananchi wanakunywa maji machafu,hapo ndio kati lakin hawana sekondari. Pia tangu Mh ameingia madarakani hajawahi kufika hapo kuongea na wananchi.
Hivi hawa viongozi wakiwa wanaomba uongozi hua wanaongoza watu au picha za watu?
Tutafika kweli kwenye maendeleo?
SOurce Radio Tumaini.