bahiri la kigogo
Member
- Jul 31, 2012
- 22
- 3
wanajf samahanini sana naomba kujuzwa hivi hili jimbo la Kongwa lina mbunge au kivuli. maana tangu 2010 kushinda hajawahi kuwa na mkutano wa hadhara wa kusikiliza kero za wananchi.
wanajf samahanini sana naomba kujuzwa hivi hili jimbo la kongwa linambunge au kivuli. maana tangu 2010 kushinda hajawahi kuwa na mkutano wa hadhara wa kusikiliza kero za wananchi.
hapo si kwa ndugai? biased man?wanajf samahanini sana naomba kujuzwa hivi hili jimbo la kongwa linambunge au kivuli. maana tangu 2010 kushinda hajawahi kuwa na mkutano wa hadhara wa kusikiliza kero za wananchi.
hapo si kwa ndugai? biased man?
Atakuwa anatoka SSM huyo? Hivi anaitwa nani vile? Maana hasikiki inaweza kuwa ni miongoni wa wabunge wanaochapa usingizi na kuamshwa na makofi hua hua hua hau hau hua. weka ile ya Taisoni!!! alitoka bomba ile kichizi.
2015 iwe ndiyo silaha pekee ya kuondoa watu kama hawa. Elimu ya upigaji kura ipite huko. Ila sitashangaa akipita bila kupingwa kama mgombea wa 2015. Kila kitu kinawezakana Tz kwa advangate ya elimu ndogo ya uraianasikia jamaa anaroho korosho halafu hapendi na htaki kushirikiana na wasomi wa jimbo lake