- Thread starter
- #41
hapana maendeleo ni mashirikiano ya karibu kati ya mbunge na wananchi wake kutafuta ufumbuzi wa kero na kuleta maendeleo, mifano ya baadhi ya wabunge tunaona jitihada zao ktk majimbo yao.Kwa hiyo unathibitisha kwenu maendeleo ni kutazama jimbo lipo chini ya mbunge wa gani?
naweza kukupa mfano mzuri wa aliye kuwa mbunge Ludewa marehemu Deo, alikuwa mfano mzuri wa jinsi wabunge wanatakiwa kuwa na wananchi wake ktk kuwaletea maendeleo