mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Wana JF,
Hili jimbo baada ya kutawaliwa mara nyingi na upinzani, kuna ka mgomo fulani ka maendeleo, barabara nyingi zilizopewa fedha kwa ajili ya kuwekewa lami, mpaka sasa bado na nyingi hazipitiki kabisa kutokana na mabonde mengi. Si TARURA wala TANROAD wanaotekeleza ilani ya CCM kwenye jimbo hili la upinzani.
Watu wengi walikuwa wakijitolea kuziba mashimo kwa juhudi zao binafsi kwa kuchangishana. Hata ile mitaa anayotoka huyu Mh. Sitta, nako hakufai, sijui kuwa Meya kunamsaidia nini? Watekelezaji wa ilani mkuu wetu alishasema maendeleo hayana vyama, mbona sasa mnaweka migomo baridi? Au mnataka chuki za chaguzi ziendeleee au mnatukomoa.
Basi inatosha nasi tunataka barabara zenye taa kama Temeke na Ilala.
Hili jimbo baada ya kutawaliwa mara nyingi na upinzani, kuna ka mgomo fulani ka maendeleo, barabara nyingi zilizopewa fedha kwa ajili ya kuwekewa lami, mpaka sasa bado na nyingi hazipitiki kabisa kutokana na mabonde mengi. Si TARURA wala TANROAD wanaotekeleza ilani ya CCM kwenye jimbo hili la upinzani.
Watu wengi walikuwa wakijitolea kuziba mashimo kwa juhudi zao binafsi kwa kuchangishana. Hata ile mitaa anayotoka huyu Mh. Sitta, nako hakufai, sijui kuwa Meya kunamsaidia nini? Watekelezaji wa ilani mkuu wetu alishasema maendeleo hayana vyama, mbona sasa mnaweka migomo baridi? Au mnataka chuki za chaguzi ziendeleee au mnatukomoa.
Basi inatosha nasi tunataka barabara zenye taa kama Temeke na Ilala.