Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,540
- 25,852
Unajikana hivi hivi? Ha ha ha.Sina chama wewe mgonjwa wa akili.
Unajikana hivi hivi? Ha ha ha.Sina chama wewe mgonjwa wa akili.
SHINDU NAMWAKA salama?? Namangale lini???Taifa linaelekea kwenye upotevu wa binadamu wasiyo na rutba,
Ok, kamanda.Si kila anaepinga serikali ana chama wengine ni wasio na vyama
Ah ah ah ah ah ah aha ha Nimecheka SanaTaifa linaelekea kwenye upotevu wa binadamu wasiyo na rutba,
Endelea kujitekenya na kucheka mwenyewe,mwambie aliekutuma akufundishe vizuri namna ya kufanya propaganda
Sasa unategemea mke wa mkuu wa wilaya atampenda Msigwa?
Hizi mimba zakupatia vilabuni zina tabu zake ujinga gani sasa huu umeleta
Mkuu umeandika Kidigo hatuelewi ulichomaanishaKwan kuka atapiga huyo ma pke yke