Kutokana na CCM kuweka mazingira mazuri ya kuzuia watia nia kujipitisha pitisha kwa ajili ya kugombea katika Uchaguzi huu na msisitizo wa kutotumika kwa rushwa, imejulikana kuwa kigezo kikubwa kinachoenda kumtoa Dkt Mwigulu Nchema kwenye kinyanganyiro ni vitendo vyake vya kifisadi amabavyo ameshavifanya. Wapinzani wake wameshakusanya ushahidi wa kutosha ambao watautumia kukata rufaa iwapo Uongozi wa Chamawa Juu utaamua kumkumbatia. Kuna ambao atayari wameahidi kuhama Chama iwapo itataokea dkt. Mwigulu anapewa nafasi ya kugombea tena. Wanaamini katika usemi wa "KUMI YA DKT. MWIGULU YATOSHA".
Rafiki yangu mmoja akiongea na mimi kwa simu kutoka Dodoma alipoenda kwenye Mkutano Mkuu juzi alieleza wazi kuwa ameona baadhi ya viongozi wa CCM wa Mkoa wakimzunguka Mwenyekiti Ndugu Juma Kilimba na kwenda na Dkt Mwigulu maeneo ya Hotel ya Fantasy na kuweka mikakati ya ushindi kwa kuwa Dkt Mwigulu anaamini kati ya majina matatu yatakayorudishwa na la kwake litakuwepo. Inasemekana hao jamaa waliondoka na kiasi fualni cha fedha amabazo Dkt Mwigulu amewapatia ili wakaanze kumpangia Timu ya Ushindi.
Wakati Dkt Mwigulu akiendela na mikakati yake Mtia nia ambaye anaonekana kumpa kiwewe zaidi ni Eng. Jumbe Katala ambaye ameshashika Tarafa zipatazo nne za Wilaya ya Iramba wakati Tarafa ya Kisiriri ambayo amejenga Shule yake ya Sekondari inaongoza kumuunga mkono. Jumbe Katala ameonesha kuwazidi wenzake kama akina David Jairo, Grace Mkoma na Timoty Lyanga ambao wanaonesha wazi kuwa na kusudio la kugombea katika Jimbo hilo. Ndugu wa karibu wa Kijana anayetoka Kata ya Kyengege Mwanasheria Kitandu Ugula amesisitiza kuwa Mwanasheria huyo pia atagombea bila kuonesha nia kwani anafuata taratibu za kichama za bila kujitangaza. Wengine wanaotarajiwa kugombea lakini hawajasema chcochote kwa kipindi hiki ni akina William Shila wa Ulemo, Richard Mkumbo wa Uwanza ambaye ni Ndugu yake na Prof. Kitila Mkumbo ambaye ameonesha nia kuwania Ubungo Dar-es-Salaam.
Wengine ambao wamejitokeza wazi kugombea kwa upande wa upinzani ni pamoja na Jeska Kishoa kwa upande wa CHADEMA. Chama cha Act Wazalendo pia kinasemwa kuweka Mgombea mabaye kwa sasa atashiriki kwanza kinyanganyiro kupitia CCM na akishindwa ndiyo atahamia Act Wazalendo. Watia nia wageni wote wamepanga kuhakikisha Dkt. Mwigulu harudi kwa sababu wamechukizwa na kile anachojitamba nacho na kukosa unyenyekevu kuwa yeye ni Mamba aliyepo kwenye kina kirefu.
Rafiki yangu mmoja akiongea na mimi kwa simu kutoka Dodoma alipoenda kwenye Mkutano Mkuu juzi alieleza wazi kuwa ameona baadhi ya viongozi wa CCM wa Mkoa wakimzunguka Mwenyekiti Ndugu Juma Kilimba na kwenda na Dkt Mwigulu maeneo ya Hotel ya Fantasy na kuweka mikakati ya ushindi kwa kuwa Dkt Mwigulu anaamini kati ya majina matatu yatakayorudishwa na la kwake litakuwepo. Inasemekana hao jamaa waliondoka na kiasi fualni cha fedha amabazo Dkt Mwigulu amewapatia ili wakaanze kumpangia Timu ya Ushindi.
Wakati Dkt Mwigulu akiendela na mikakati yake Mtia nia ambaye anaonekana kumpa kiwewe zaidi ni Eng. Jumbe Katala ambaye ameshashika Tarafa zipatazo nne za Wilaya ya Iramba wakati Tarafa ya Kisiriri ambayo amejenga Shule yake ya Sekondari inaongoza kumuunga mkono. Jumbe Katala ameonesha kuwazidi wenzake kama akina David Jairo, Grace Mkoma na Timoty Lyanga ambao wanaonesha wazi kuwa na kusudio la kugombea katika Jimbo hilo. Ndugu wa karibu wa Kijana anayetoka Kata ya Kyengege Mwanasheria Kitandu Ugula amesisitiza kuwa Mwanasheria huyo pia atagombea bila kuonesha nia kwani anafuata taratibu za kichama za bila kujitangaza. Wengine wanaotarajiwa kugombea lakini hawajasema chcochote kwa kipindi hiki ni akina William Shila wa Ulemo, Richard Mkumbo wa Uwanza ambaye ni Ndugu yake na Prof. Kitila Mkumbo ambaye ameonesha nia kuwania Ubungo Dar-es-Salaam.
Wengine ambao wamejitokeza wazi kugombea kwa upande wa upinzani ni pamoja na Jeska Kishoa kwa upande wa CHADEMA. Chama cha Act Wazalendo pia kinasemwa kuweka Mgombea mabaye kwa sasa atashiriki kwanza kinyanganyiro kupitia CCM na akishindwa ndiyo atahamia Act Wazalendo. Watia nia wageni wote wamepanga kuhakikisha Dkt. Mwigulu harudi kwa sababu wamechukizwa na kile anachojitamba nacho na kukosa unyenyekevu kuwa yeye ni Mamba aliyepo kwenye kina kirefu.