Nafikiri sio kweli, mtangazaji alikosea kusoma namba ya kura za mgombea wa CHADEMA, badala ya elfu moja na akasema elfu 10 na.
Alivyokuja kutaja ya waliopiga kura nikaona haiwezekani. Pia CCM wamechukua udiwani karibu kata zote hivyo nafikiri aliyeshinda ni wa CCM.