Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,928
- 2,101
Hujuma kali inafanyika hapa Hai dhidi ya Mbunge wa Hai Mheshimiwa Freeman Mbowe. Hadi sasa Mbowe ameshinda ila kuna kila njama za kujaribu kumkwamisha.
Wananchi ni wengi toka asubuhi sana na wanataka kuonana na Mbunge wao mteule.
Hata hivyo kasoro kadhaa zimeanza kujitokeza ikiwemo watu inaosadikiwa ni wa ccm wakijaribu kuhamasisha watu wafanye fujo kwa lengo la kuichafua CHADEMA.
Vijana wa ulinzi wa CHADEMA wanafanya kazi nzuri ya kuwatuliza watu.
Kwa bahati mbaya mmoja wa askari wa kutuliza ghasia alifyatua risasi na kupelekea watu kukimbia ovyo.
Wananchi ni wengi toka asubuhi sana na wanataka kuonana na Mbunge wao mteule.
Hata hivyo kasoro kadhaa zimeanza kujitokeza ikiwemo watu inaosadikiwa ni wa ccm wakijaribu kuhamasisha watu wafanye fujo kwa lengo la kuichafua CHADEMA.
Vijana wa ulinzi wa CHADEMA wanafanya kazi nzuri ya kuwatuliza watu.
Kwa bahati mbaya mmoja wa askari wa kutuliza ghasia alifyatua risasi na kupelekea watu kukimbia ovyo.