Elections 2015 Jimbo La Bukoba mjini mmefanya makosa makubwa kumuondoa Sued Kagasheki

Mapunga kama nyie natamani niwapasuepasue....unakubali umwinyi eti kisa MTU kakupa unga wa ugali....ndo nyie mliotufikisha hapa waafrika ..kama ww ni mwanaume utakuwa na mapungufu makubwa mno....hufai kuwa ktk jinsia ya kiume maana mtazamo kama wako ni wa kikekike
Wakike kama wamama yako au hivi we ng'ombe hiyo post niyalini au umeingia jf juzi pumbavu zako kenge wewe
 
Mbunge Sued Kagasheki,
1. Mikopo Kwa Kina Mama,
2. Vijana Wanapatiwa Pikipiki Kwa Kurejesha Ela Taratibu, Mwaka Huu Kawapatia Pikipiki 300,
3. Ukarabati Wa Hospitali Ya Mkoa Na Kuwapatia Ambulance Na Kugharamia Mafuta Yake,
4. Bill Ya Umeme Ya Hospitali Zote Na Vituo Vya Watoto Yatima Bado Analipa Yeye
5. Kuwapatia Fursa Vijana Kucheza Ligi Yenye Thaman Ya Mil 35 Kwa Miez 6,
6. Kubadilisha Furniture Za Shule Zote Za Serikali Kila Zinapochakaa
7. Katoa Fursa Ya Ajira Kupitia Vick Fish,
8. Kapambana Na Fisad Aman Anatory Katika Sakata La Viwanja Bukoba
9. Kina Mama Wamepewa Fursa Ya Ufugaji Kila Mama 5 Ng'ombe 1 Bule
10. Kuweka Mitego Ya Radi Kila Shule Kuzuia Vifo Vilivyotokea Siku Za Nyuma, Kaweka Tv Na Umeme Shule Zote, Na Kujenga Darasa Moja Moja Kila Shule,
Je Mlitaka Afanye Nin Zaid Ya Icho? Pia Mmelalamika Eti Anaweza Chukua Ambulance Alizogawa Hospitalin, Nahs Dhana Ya Mabadiliko Hamkuielewa
Tatizo hayo yote aliyotoa ingekuwa marekani angeweza akashitakiwa kwa ugaidi. Hata km ni msaada,kiuchumi hii hesabu haijumlishiki.NI akina ghaddafi tuu ndio kwao hisi hesabu hazina taabu.
 
Ukapimwe mkojo kwa uchochezi.Kagasheki kwa Bukoba anazidiwa na kalai,alitengeneza migomo kwa madiwani nakuwahonga ili wasusie vikaokwamuda wa miaka 8.Eidha zaidi ya Bilioni 300 zilizitishwa na Benki ya dunia nakusababisha soko kuu kutokujengwa.Mikopo aliyokua anatoa ilikua nikwa wanaccm tu na aliwanyang' anya card zao za kupigia kura.Sijawahi kuona Mb.mwenye roho mbaya kama Kagasheki.Kiujumla Bukoba hatutakagi ujinga.Mkiendeleza uchochezi ata awa madiwani wanne wa ccm kwenye Halmashauri tutawaondoa ndo mtatuelewa.Kama alitupenda mbona aliiba tv aliyokwisha ikabidhi kwa mkurugenzi? Roho mbayaatakufanayo.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom