BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 7,664
- 17,188
Msomi wa elimu ya juu ya sheria na yote yanayohusu uchawi. Astaafu fisi atawalisha nini
NywanokoHuko wasukuma hawanaga neno kabisa ni kujichukulia ili muradi uwawekee kitu inaitwa MBINA
Unajitoa mfahamuChauma
Apumzike sasa akacheze na Wajukuu..Andrew Chenge MITANO tena au mna mpango wa kumtosa mzee GENIOUS. Binafsi naona mzee hana sababu ya kuukosa ubunge kwani ana vigezo vyote Elimu, Uzoefu na Mbinu za kutosha, Vijana mmekosa vitu hivyo vitatu.
Huyo ni mmojawapo walioliingiza taifa kwenye umaskini kusaini mikataba ya kiwizi na ufisadi!!Andrew Chenge MITANO tena au mna mpango wa kumtosa mzee GENIOUS. Binafsi naona mzee hana sababu ya kuukosa ubunge kwani ana vigezo vyote Elimu, Uzoefu na Mbinu za kutosha, Vijana mmekosa vitu hivyo vitatu.
Ndo maana dhana ya Tanzania mpya.alichofanya Chenge huko nyuma kwa sasa ni hatari kubwa.Tanzania mpya ya MagufuliUnajitoa mfahamu
Hilo ni jizi la chama cha kijana kibichi
Kwa kauli hiyo unakubali CCM kilikuwa chama cha mafisadiNdo maana dhana ya Tanzania mpya.alichofanya Chenge huko nyuma kwa sasa ni hatari kubwa.Tanzania mpya ya Magufuli
Wewe mwenyewe ushasema "kilikua".inamaana kwa sasa kuna mabadiliko makubwa.Kwa kauli hiyo unakubali CCM kilikuwa chama cha mafisadi
TombinANywanoko