Kama hawapo tuwatowe wapi?
Mwache mtemi wetu apige hela, kwa nini unamwonea wivu?Watu wavijiji amjitambui mnashindwa kujua ubunge nisehemu yakupiga hela.
Naunga mkono hoja.. Jamaa wa vijisenti bado tunamhitaji..Andrew Chenge MITANO tena au mna mpango wa kumtosa mzee GENIOUS. Binafsi naona mzee hana sababu ya kuukosa ubunge kwani ana vigezo vyote Elimu, Uzoefu na Mbinu za kutosha, Vijana mmekosa vitu hivyo vitatu.
Inasadikika pia ni kigagula Fundi wa gambos,lakini pia mhusika asiyeonekana mwenye makengeza wa scandals zite zilizotikisa Tanzania kama EPA,ESCROW nk.Andrew Chenge MITANO tena au mna mpango wa kumtosa mzee GENIOUS. Binafsi naona mzee hana sababu ya kuukosa ubunge kwani ana vigezo vyote Elimu, Uzoefu na Mbinu za kutosha, Vijana mmekosa vitu hivyo vitatu.
Huko wasukuma hawanaga neno kabisa ni kujichukulia ili muradi uwawekee kitu inaitwa MBINA
Mchoji. Hajatosheka tu!Mwache mtemi wetu apige hela, kwa nini unamwonea wivu?
Huyo kwetu tnamwita "Nzoka y'ihenge" hawezi kutosheka mpaka afe!!Mchoji. Hajatosheka tu!
Unaweza kututhibitishia hayo maneno yako ?Andrew Chenge MITANO tena au mna mpango wa kumtosa mzee GENIOUS. Binafsi naona mzee hana sababu ya kuukosa ubunge kwani ana vigezo vyote Elimu, Uzoefu na Mbinu za kutosha, Vijana mmekosa vitu hivyo vitatu.
Huyu Mzee ni chama gani?Huyu mzee si astaafu.kwani hawezi ishi maisha nje ya ubunge?.kwanza keshaiba sana kudadadeki zake.
ChaumaHuyu Mzee ni chama gani?
Niko na Ni mzaliwa wa Dutwa ,Andrew Chenge MITANO tena au mna mpango wa kumtosa mzee GENIOUS. Binafsi naona mzee hana sababu ya kuukosa ubunge kwani ana vigezo vyote Elimu, Uzoefu na Mbinu za kutosha, Vijana mmekosa vitu hivyo vitatu.
Michezo ya ngoma za asiliMkuu MBINA ni nini ?