Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,069
- 3,702
Hapo vip!!
Watu wa Arusha ni watu opportunist sana,sasa hivi kwa kauli ya Mh. Dr.Magufuli rais wa jamuhuri wa muungano wa Tanzania kuwaruhusu machinga wafanye biashara katika ya mji naona kama itawashawishi wamachinga waipigie kura CCM.
Kwa uchaguzi mdogo ngazi ya madiwani na jinsi CCM walivyojizolea kata za kutosha ni ishara tosha CHADEMA hawatakuwa salama.
CCM sasa hivi itatumia mbinu yeyote ili mradi watangazwe washindi, so hapa Lema anakazi kubwa mnoo.
Arusha sasa hivi hakuna mikutano ya kimataifa inayofanyika hapa na hii yote kwa sababu ya tofauti za kisiasa.CCM mkiadi kurudisha mikutano ya kimataifa hapa wanaweza wakajizolea kura nyingi sana.
Serikali kama imeisahau mkoa wa Arusha,wakati mkoa huu unachangia pato kubwa la taifa,siasa za namna hii zikiendelea hii mikoa ya kask, inaweza kuja kuwa nyuma kimaendeleo.
Lema ni Mbunge mzuri lakini kwa siasa anazofanya inampa wakati mgumu sana kutoka na nature ya Utawa,uwafrika wetu na nature ya demokrasia tuliyonayo.
Sisi watu wa Arusha tuna msimamo lakini linapokuja swala la maslahi au pesa mtu anakusaliti mchana peupe.
Watu Arusha tumepata fundisho kubwa dhidi ya mabomu yaliyowaua na kuwaachia ndugu zetu vilema vya maisha,kumbe mwisho wa siku zile familia zilizo adhirika zinatelekezwa.
Tunaitaji Arusha ya zamani yenye Neema.
Watu wa Arusha ni watu opportunist sana,sasa hivi kwa kauli ya Mh. Dr.Magufuli rais wa jamuhuri wa muungano wa Tanzania kuwaruhusu machinga wafanye biashara katika ya mji naona kama itawashawishi wamachinga waipigie kura CCM.
Kwa uchaguzi mdogo ngazi ya madiwani na jinsi CCM walivyojizolea kata za kutosha ni ishara tosha CHADEMA hawatakuwa salama.
CCM sasa hivi itatumia mbinu yeyote ili mradi watangazwe washindi, so hapa Lema anakazi kubwa mnoo.
Arusha sasa hivi hakuna mikutano ya kimataifa inayofanyika hapa na hii yote kwa sababu ya tofauti za kisiasa.CCM mkiadi kurudisha mikutano ya kimataifa hapa wanaweza wakajizolea kura nyingi sana.
Serikali kama imeisahau mkoa wa Arusha,wakati mkoa huu unachangia pato kubwa la taifa,siasa za namna hii zikiendelea hii mikoa ya kask, inaweza kuja kuwa nyuma kimaendeleo.
Lema ni Mbunge mzuri lakini kwa siasa anazofanya inampa wakati mgumu sana kutoka na nature ya Utawa,uwafrika wetu na nature ya demokrasia tuliyonayo.
Sisi watu wa Arusha tuna msimamo lakini linapokuja swala la maslahi au pesa mtu anakusaliti mchana peupe.
Watu Arusha tumepata fundisho kubwa dhidi ya mabomu yaliyowaua na kuwaachia ndugu zetu vilema vya maisha,kumbe mwisho wa siku zile familia zilizo adhirika zinatelekezwa.
Tunaitaji Arusha ya zamani yenye Neema.