Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,631
- 40,789
Tafiti yangu ya haraka niliyoifanya nikiwa arusha imenipa mjumuiko wa mtazamo wa wananchi walio wengi Arusha kuwa wamechoka uwakilishi uliopo madarakani na hauna manufaa kwa kwa namna yoyote kulinganisha na matumaini na ahadi hewa walizopewa na kiongozi aliyepo sasa.
Jimbo lipo wazi na mwakilishi mpya anahitajika 2015.
Kidumu chama cha mapinduzi
Jimbo lipo wazi na mwakilishi mpya anahitajika 2015.
Kidumu chama cha mapinduzi