PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,723
Tumsifu Yesu Kristo.
Tuko kwenye sherehe za Jubilei ya miaka 50 ya Jimbo Kuu la Arusha.
Hakika mambo ni mazuri sana, na baraka za Mungu ziko wazi kwa kila mhudhuriaji.
Ujumbe wa Jubilei ni "UINJILISHAJI WA KINA".
Kuna wageni toka kila kona ya nchi, na ulinzi umeimarishwa sana.
-Tuko na Cardinal Pengo, maaskofu mapadri na watawa toka kila kona ya nchi.
-Kuna Waziri Mkuu
-na dignitaries wengine wengi wa madhehebu mbalimbali.
Tuko kwenye sherehe za Jubilei ya miaka 50 ya Jimbo Kuu la Arusha.
Hakika mambo ni mazuri sana, na baraka za Mungu ziko wazi kwa kila mhudhuriaji.
Ujumbe wa Jubilei ni "UINJILISHAJI WA KINA".
Kuna wageni toka kila kona ya nchi, na ulinzi umeimarishwa sana.
-Tuko na Cardinal Pengo, maaskofu mapadri na watawa toka kila kona ya nchi.
-Kuna Waziri Mkuu
-na dignitaries wengine wengi wa madhehebu mbalimbali.