ndege joni
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 673
- 1,082
Habari zenu wote
Hivi karibuni nilianzisha mahusiano na jimama ambalo limeachika na linafanya biashara zake. Mama huyo ana umri kati ya miaka 40s, uzito kati ya kilo 100 (uzito wangu ni 76Kg) Kwa kifupi nimekuwa kibenten kwa mda wa miezi miwili sasa na ananipenda sana na shida yake sio pesa na yuko tayari kunilipia chochote nachohitaji kutokana na uwezo wake japo sijawahi kuchukua hata 100 yake zaidi ya pombe anazonunua.
Shida ya huyu mama ni kuwa anapenda sana kufanya mapenzi, kila nikienda lazima nitumike kwelikweli na mara nyingine naamka hoi nashindwa kufanya majukumu mengine nakuwa nasinzia. Mara kadhaa nikienda na kutoka bila kufanya mapenzi analalamika sijamtendea haki.
Mwishowe nimejiona mtumwa wa kufanya mapenzi kwa jimama... na kila saa linatuma sms nikiwa katika majukumu kuwa usiache kuja leo na nikiziona sms nachoka nakumbuka mtanange wa huyo mama. Mpaka sasa sina hamu na mapenzi na mwanamke yeyote kwa sababu yake na wale niliokuwa nao nimepiga chini wote kwa sababu yake.
Sijui kama kuna waliopitia haya ila kulazimishwa mapenzi ni utumwa kweli na sielewi kwa jinsia ya kike ikoje. Tupeane uzoefu mabaharia
Hivi karibuni nilianzisha mahusiano na jimama ambalo limeachika na linafanya biashara zake. Mama huyo ana umri kati ya miaka 40s, uzito kati ya kilo 100 (uzito wangu ni 76Kg) Kwa kifupi nimekuwa kibenten kwa mda wa miezi miwili sasa na ananipenda sana na shida yake sio pesa na yuko tayari kunilipia chochote nachohitaji kutokana na uwezo wake japo sijawahi kuchukua hata 100 yake zaidi ya pombe anazonunua.
Shida ya huyu mama ni kuwa anapenda sana kufanya mapenzi, kila nikienda lazima nitumike kwelikweli na mara nyingine naamka hoi nashindwa kufanya majukumu mengine nakuwa nasinzia. Mara kadhaa nikienda na kutoka bila kufanya mapenzi analalamika sijamtendea haki.
Mwishowe nimejiona mtumwa wa kufanya mapenzi kwa jimama... na kila saa linatuma sms nikiwa katika majukumu kuwa usiache kuja leo na nikiziona sms nachoka nakumbuka mtanange wa huyo mama. Mpaka sasa sina hamu na mapenzi na mwanamke yeyote kwa sababu yake na wale niliokuwa nao nimepiga chini wote kwa sababu yake.
Sijui kama kuna waliopitia haya ila kulazimishwa mapenzi ni utumwa kweli na sielewi kwa jinsia ya kike ikoje. Tupeane uzoefu mabaharia