Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,989
- 103,373
Ndio Mkuu kikubwa hakuna kukata tamaa.
Kwanini watu huwa wanasema Maalim Seif aache kugombea kulingana na huu muktadha wako? Nadhani sasa umeona jinamizi la huyu jamaa kutokuamini ushindani wa box la kura ulianzia wapi.