mayome
Member
- Jan 17, 2012
- 62
- 21
:bange:Hi, wanajamii.
Natafuta fundi wa majiko yanayotumia mafuta machafu/ oil chafu na yale yanayotumia makaa ya mawe kwajili ya matumizi binafsi. kwa sasa nipo mbeya mjin lakin nitakua tayar kuyafuata popote yalipo. Nahitaji majiko yenye uwezo wa kuchemsha lita 200 hadi 500 kwa mara moja
naomba msaada wa mahali yanapopatikana au mtu/kampuni inayotengeneza kwa kunipa: namba ya simu, email adress, physical adress etc
mwenye maelezo anitumie privete masage au email: semkiwarama@yahoo.com
AHSANTEN.
Natafuta fundi wa majiko yanayotumia mafuta machafu/ oil chafu na yale yanayotumia makaa ya mawe kwajili ya matumizi binafsi. kwa sasa nipo mbeya mjin lakin nitakua tayar kuyafuata popote yalipo. Nahitaji majiko yenye uwezo wa kuchemsha lita 200 hadi 500 kwa mara moja
naomba msaada wa mahali yanapopatikana au mtu/kampuni inayotengeneza kwa kunipa: namba ya simu, email adress, physical adress etc
mwenye maelezo anitumie privete masage au email: semkiwarama@yahoo.com
AHSANTEN.