Said Cosmetics
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 1,998
- 1,579
- Thread starter
- #21
85kUmenunua bei gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
85kUmenunua bei gani?
Sijapasua mkuu na wala sisongei ugali abadanSema umepasua sio kimepasuka, kwa matumizi ya kusonga ugali majiko haya lazima upate matokeo ya aina hiyo
Kumbe tufanyaje mkuuUko sahihi , ilitokea hilo tatizo moto unajipenyeza aisee ilipasuka pasuka ningekuwa mbali ningeunguza nyumba
Aborder mkuuNi brand gani
Sikumbuki vizuri ila ilikuwa ni jiko na mtungi mkubwa haikuwa chini ya 250KUmenunua shi ngapi kaka?.
Hii ndo sababu maana hata Mimi ilinitokea. Ila hata kioo kikitoka linafanya kazi.Kama kuna sehemu huko chini kuna moto unajipenyeza pasipo hitajika, litavunjika lote polepole.
Duuuh pole aisee , c huwa wanakua na warranty , warudishie mkuu , mm lakwangu nimenunua toka mwaka 2016 mpaka Leo liko poa , ni la sansan sema siku hiyo kampuni haipoKama kichwa habari hapo juu
Nimenunua jiko la plate mbili seperatively yaan nimenunua kimoja kimoja.
Jiko lina wiki tu ndo limekuwa hivi.
Yaan vioo vikepasuka pasuka kwa pembeni.
View attachment 1983299View attachment 1983300
Yaani kama unavunjia nazi kwenye pembe za jiko unadhani litabaki salama kweli?Kama kichwa habari hapo juu
Nimenunua jiko la plate mbili seperatively yaan nimenunua kimoja kimoja.
Jiko lina wiki tu ndo limekuwa hivi.
Yaan vioo vikepasuka pasuka kwa pembeni.
View attachment 1983299View attachment 1983300
Nina Boss la plate mbili la kioo tangu 2017 mwanzoni linadunda mpaka leo.Umenunua la bei rahis Mi nina jiko la model hiyo tangu 2017 hadi zima halina mpasuko wa aina yoyote
Jaribu kuchunguza kwa pembeni utakuta moto unavuja( hauwakii kwenye buner) unakuwa unachoma kioo kwa chiniKama kichwa habari hapo juu
Nimenunua jiko la plate mbili seperatively yaan nimenunua kimoja kimoja.
Jiko lina wiki tu ndo limekuwa hivi.
Yaan vioo vikepasuka pasuka kwa pembeni.
View attachment 1983299View attachment 1983300
Upo vizuri hata hawa mafundi wakuchomea wanaweza kukukatia bati wakatoboa hizo raundi likaendelea kupiga kazi kama kawaidaMim nilinunua la ivyoivyo ila kampuni ni Aborder, nikalitumia miezi 6 tu oneday ilo likioo likaBusty kama bomu lol nikajua nafwaa, wakasema ni joto ninapopika. Ila sikuwaamin.
Nikampelekea mtaalamu mmoja akalidesign na kuweka bati apo juu akapiga rangi,, hauwezi jua limekuwa jipya na zuri kama limetoka china