hiv positive living
Senior Member
- Jan 6, 2020
- 153
- 217
Hellow wapendwa poleni na majukumu ya siku nzima ya leo,,,
Nitashare nanyi baadhi ya aina ya vyakula/ tiba lishe ambavyo(yo) mimi huvitumia ,/nisivyovitumia;
1.sili ugali /wali/(vyakula vya wanga vyote)
Ila nacheat kidogo kwenye ndizi
2.sili mkate/andazi/vitumbua(vyakula vyote vya ngano)
3.vinyaji mfano soda, situmii, vyakula vya sukari pia mfano cake ,juice iloongezwa sukari , juice ya miwa ,
4.situmii kahawa kabisa
5.bites, pipi, pia situmii n.k
Kuna vingine tutaendelea kushare
Kwa miaka ya Nyuma ikiwa unapatwa una HIV basi cd4 juu ya 250 tulikuwa hatupatiwi ARV, safari yangu ya tiba lishe ilianzia hapa
Niliogopa dawa, niliogopa side effects vile navyoenda nawakuta watu wamechoka haswaaa
Hivyo mwaka nilojigundua niliishi kwa hofu na woga mwingi sana, mwaka wa pili nikanza kuona kidogo nipo sawa mwaka wa 3 ndipo nilipofanya maamuzi yaliyoniweka kwenye nafasi nzuri mpkaa sasa nayo ni "HEALTHY EATING"
Nilihakikisha nabadili mfumo mzima wa ulaji na kuishi
Nikapanga ratiba nzuri ya vyakula ,
Nikajiepusha na stress(oppsss hii ndio mbaya HIV inasubiri)
Nikabadili vinywaji + vipodozi
Nikazingatia muda wa kazi na kupumzika
Nikajiweka karibu na Mungu zaidi
Kwa uchache sana ndio haya
Tutaelekezana kwenye comments kulingana maswali yatakayoulizwa mkawe na mda mwema
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitashare nanyi baadhi ya aina ya vyakula/ tiba lishe ambavyo(yo) mimi huvitumia ,/nisivyovitumia;
1.sili ugali /wali/(vyakula vya wanga vyote)
Ila nacheat kidogo kwenye ndizi
2.sili mkate/andazi/vitumbua(vyakula vyote vya ngano)
3.vinyaji mfano soda, situmii, vyakula vya sukari pia mfano cake ,juice iloongezwa sukari , juice ya miwa ,
4.situmii kahawa kabisa
5.bites, pipi, pia situmii n.k
Kuna vingine tutaendelea kushare
Kwa miaka ya Nyuma ikiwa unapatwa una HIV basi cd4 juu ya 250 tulikuwa hatupatiwi ARV, safari yangu ya tiba lishe ilianzia hapa
Niliogopa dawa, niliogopa side effects vile navyoenda nawakuta watu wamechoka haswaaa
Hivyo mwaka nilojigundua niliishi kwa hofu na woga mwingi sana, mwaka wa pili nikanza kuona kidogo nipo sawa mwaka wa 3 ndipo nilipofanya maamuzi yaliyoniweka kwenye nafasi nzuri mpkaa sasa nayo ni "HEALTHY EATING"
Nilihakikisha nabadili mfumo mzima wa ulaji na kuishi
Nikapanga ratiba nzuri ya vyakula ,
Nikajiepusha na stress(oppsss hii ndio mbaya HIV inasubiri)
Nikabadili vinywaji + vipodozi
Nikazingatia muda wa kazi na kupumzika
Nikajiweka karibu na Mungu zaidi
Kwa uchache sana ndio haya
Tutaelekezana kwenye comments kulingana maswali yatakayoulizwa mkawe na mda mwema
Sent using Jamii Forums mobile app