Jijini Dodoma maji dumu shilingi 1000

Dodoma anapata na yule dogo Mavunde mshamba tu nae watampa ila hamna lolote analowafanyia.
Kwanza ana dharau sana hasa ukimweleza shida zinazowakabili wananchi,atakujibu huku anajilambalamba midomo na kubinua mdomo tena lips Nazo zimekandikwa mafuta utafikiri kala vitumbua vya barabara ya 9
 
Kwanza ana dharau sana hasa ukimweleza shida zinazowakabili wananchi,atakujibu huku anajilambalamba midomo na kubinua mdomo tena lips Nazo zimekandikwa mafuta utafikiri kala vitumbua vya barabara ya 9
Duh!
 
Inaelezwa jiji la Dodoma linakabiliwa na uhaba mkubwa wa maji uliopelekea dumu kuuzwa kwa bei ya Tsh 1000 katika mji mkuu huo wa Tanzania

Chanzo: Gazeti la mwananchi kupitia Facebook page yao



Tukutane kwenye comment
Mchagueni Lissu atawaletea maji kwani Hilo no hitaji muhimu! Akili za ccm sijui zimekaa upande gani wa miili yao! Miaka 50+ ya utawala wao bado wanashindwa kuwatatulia wananchi kero ya maji! Sasa waliipa dodoma hadhi ya jiji ya Nini ilihali Haina maji? Dodoma morning kura Lissu awaondolee kero ya maji!
 
Inaelezwa jiji la Dodoma linakabiliwa na uhaba mkubwa wa maji uliopelekea dumu kuuzwa kwa bei ya Tsh 1000 katika mji mkuu huo wa Tanzania

Chanzo: Gazeti la mwananchi kupitia Facebook page yao



Tukutane kwenye comment
CCM ni walafi sana na hawajali maisha ya wanyonge ,hivi wameshindwa kuuza "V8" zao hata mbili na kuwachimbia wananchi wa dodoma visima? Ndio kujali wanyonge huko?
 
CCM ni walafi sana na hawajali maisha ya wanyonge ,hivi wameshindwa kuuza "V8" zao hata mbili na kuwachimbia wananchi wa dodoma visima? Ndio kujali wanyonge huko?
Weweee, hizo vii eitee usiziguse wanatembelea vigogo tu wa chama pendwa. Hivi hakuna mwarobaini mwingine wa upatikanaji maji Dodoma hadi tuanze kufikiria mradi wa kuyavuta ziwa victoria?
 
Kuna kipindi walitaka mabalozi wakae Dodoma.
Kwa kweli ukiacha wagogo ambao hawaoni noma hata maji yakikatika miezi mitatu. Sidhani Kama Kuna mtu anaweza kwenda kuishi Dodoma kwa ridhaa yake mwenyewe.
Bora hata wangefanya mji mkuu kuwa Zanzibar.
 
dodoma sehemu gani mkuu!?.
Dodoma yote tu Mkuu, Duwasa chini ya Pallangyo wanasema mara mashine moja imefeli wamaweka mpya
na hata wakiweka maji hayapandi katika maghorofa hata mabafu wakati mwingine hayatoki kabisa.
Maeneo ya Majengo, Uhuru na Madukani ni kuchota maji asubuhi jioni hakuna mpaka kesho yake tena
 
Weweee, hizo vii eitee usiziguse wanatembelea vigogo tu wa chama pendwa. Hivi hakuna mwarobaini mwingine wa upatikanaji maji Dodoma hadi tuanze kufikiria mradi wa kuyavuta ziwa victoria?

Kukosa maji kwa TZ ni ulafi wa viongozi tu........Kama Dubai jangwani wana maji safi na salama ndio tutashindwa sisi wakati tumezungukwa na maziwa,mito na vyanzo kibao vya maji ardhini?
 
Back
Top Bottom