Jiji lililovunja rekodi ya kuwa na mabilionea wengi

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,005
9,872
Jiji la New York, Marekani lilikuwa jiji lililokuwa na mabilionea 82, kwa takwimu za mwaka 2017 zilizotolewa na forbes. Jumla ya thamani ya mali za mabilionea hao ilikuwa ni $397.9 Billioni sawa na Tsh 917.8 Trillion

Thamani ya mali zao ni kubwa kuliko pato la taifa la nchi za Falme za kiarabu

Wakati huo mali kubwa ilikuwa ni ya Marehemu David Koch, aliyekuwa makamu wa rais wa kampuni ya pili kwa ukubwa kule Marekani ya Koch Industries

Wingi huu wa matajiri kwa jiji la New York umeuweka Mji huo katika rekodi ya dunia ya kuwa na mabilionea wengi, kwa kitabu cha Guinness cha 2019
 
Ni kweli Ni Rosyam Azizi peke yake Wengine matajiri wa pesa za madafu tu
Ambaye ni mwanachama mtiifu wa CCM aliyetumia vyema connections zake na viongozi wazalendo wa nchi na wanachama wenzake wa ccm kujitajirisha.

Huwa nawashangaa sana ccm wanaposema wao ni wazalendo. Ila kinachosikitisha sana ni vile ccm badala ya kutajirisha weusi wenzao wanatajirisha weupe kama huyo uliyemtaja.
 
Back
Top Bottom