Um
But still kwenye makusanyo ya tra arusha imewapita
Hapo mnachopingana na Bwana opportunity cost ni mapato ya halmashauri ambapo kama utakumbuka halmashauri nyingi nchini ukitoa dodoma vyanzo vingi vya mapato vilipeleka tra halmashauri zilibaki na ushuru wa vitu kama masoko, taka na stendi
Mfano dodoma ndio iliyoongoza kwa mapato ya halmashauri lakini ki uhalisia kwa makusanyo ya tra dar peke yake inakusanya mapato zaidi ya asilimia 80
Kwahiyo makusanyo ya halmashauri sio kipimo kizuri cha kuonesha ukubwa wa mji au shughuli zilizomo kwa sababu dodoma peke yake inakusanya mapato mara 3 zaidi ya arusha au mwanza cc + ilemela
Umeelezea vizuri sana kakaHapo unakosea, Arusha DC ni tofauti na Jiji la Mwanza na Ilemela. Ilemela na Nyamagana ni Manispaa 2 ndani ya MJI wa Mwanza na siyo mkoa wa Mwanza. Wametenganisha jiji liwe Nyamagana(Mwanza CC) kama Ilala hivi majuzi kuwa ndiyo Dar es Salaam. Hivyo hiyo Arusha itafutwe sehemu nyingine ya hapo mjini kama ipo iungane lakini isiwe Arusha DC, kisha ulinganishe na Mwanza CC na Ilemela.
Mwanza mdau, to be fair, iko juu kuliko Arusha.
Nasisitiza miji hiyo mimi wala hainihusu na hivyo sina maslahi, bali huwa ni mkweli tu.
Mr Opportunity, refer hoja ya Makambako vs Njombe mji na Kahama vs Njombe mji, niliongea ukweli tupu!
But still kwenye makusanyo ya tra arusha imewapita
Hapo mnachopingana na Bwana opportunity cost ni mapato ya halmashauri ambapo kama utakumbuka halmashauri nyingi nchini ukitoa dodoma vyanzo vingi vya mapato vilipeleka tra halmashauri zilibaki na ushuru wa vitu kama masoko, taka na stendi
Mfano dodoma ndio iliyoongoza kwa mapato ya halmashauri lakini ki uhalisia kwa makusanyo ya tra dar peke yake inakusanya mapato zaidi ya asilimia 80
Kwahiyo makusanyo ya halmashauri sio kipimo kizuri cha kuonesha ukubwa wa mji au shughuli zilizomo kwa sababu dodoma peke yake inakusanya mapato mara 3 zaidi ya arusha au mwanza cc + ilemela