Jiji la Mwanza vs Jiji la Arusha: Lipi ni zaidi kwenye hili?

Leo msafara uliobeba mwili wa aliyekuwa Rais wa JMT marehemu JPM umekatiza katikati ya jiji la Mwanza

Mmeona mandari ya jiji la Mwanza, ziwa victoria, wingi wa watu na uzuri wote wa Mwanza

Wa kufananisha Mwanza na vi-jiji vingine kama vi-Arusha endeleeni kufananisha vi-sehemu vyenu na jiji la Mwanza sasa

R.I.P JPM
Mimi nimezaliwa Mwanza ila swala la muonekano kwa juu tukiacha ushabiki hakuna tofauti kubwa kati ya Mwanza na Arusha. Tofauti kubwa ni population na ukubwa wa jiji la Mwanza.
 
Leo msafara uliobeba mwili wa aliyekuwa Rais wa JMT marehemu JPM umekatiza katikati ya jiji la Mwanza

Mmeona mandari ya jiji la Mwanza, ziwa victoria, wingi wa watu na uzuri wote wa Mwanza

Wa kufananisha Mwanza na vi-jiji vingine kama vi-Arusha endeleeni kufananisha vi-sehemu vyenu na jiji la Mwanza sasa

R.I.P JPM
Arusha ukitembea kilometa 9 kutoka City center ni vinaanza vijiji.

Mfano huku mbele ya Njiro Road naura secondary

Kilometer 9 Ngaramtoni mbele kijiji

Njia ya Mwanza hapo Kisongo vijiji vinaanza

Ikinding'a mianzini juu vijiji

Tengeru maji ya chai tayari haupo jiji

Yaani Arusha ni ndogo kama piriton huwezi linganisha distance ya kwenda Igombe, Nyegezi, Igoma ni parefu.
 
1) Dar kwasababu ni jiji muhimu kibiashara n,k.
2) Dom kwasababu ni mji mkuu wa Tanzania.
3) Zanzibar kwasababu za protocol za muungano.
4) Mwanza kwasababu jiji muhimu kibiashara la pili Tanzania nyuma ya Dar.

Wengine kama Arusha na wenzao wasubiri kwanza.

R.I.P jemedari Magufuli.
 
Arusha ukitembea kilometa 9 kutoka City center ni vinaanza vijiji.

Mfano huku mbele ya Njiro Road naura secondary

Kilometer 9 Ngaramtoni mbele kijiji

Njia ya Mwanza hapo Kisongo vijiji vinaanza

Ikinding'a mianzini juu vijiji

Tengeru maji ya chai tayari haupo jiji

Yaani Arusha ni ndogo kama piriton huwezi linganisha distance ya kwenda Igombe, Nyegezi, Igoma ni parefu.
Umeongea point sana mkuuu
 
1)Dar kwasababu ni jiji muhimu kibiashara n,k.
2)Dom kwasababu ni mji mkuu wa Tanzania.
3)Zanzibar kwasababu za protocol za muungano.
4)Mwanza kwasababu jiji muhimu kibiashara la pili Tanzania nyuma ya Dar.

Wengine kama Arusha na wenzao wasubiri kwanza.
R.I.P jemedari Magufuli.

Mwanza kwasababu kuna misukule inayoweza kukala barabarani na kukimbia ovyo

Arusha hakuna anayeweza kufanya huo ujinga
 
Population density Arusha ni kubwa sana kwa hiyo kufanya biashara Arusha ni rahisi zaidi lakini pia kuna centers nyingi za kimataifa na wageni ni wengi hivyo mzunguko ni mkubwa.
Asee, wewe unaishi wapi?

Unavyosema population arusha ni kubwa sijakuelewa unazungumzia arusha ya nchi gani 😲?.

Latest updates ya mwaka jana haikuzidi 500,000 ambapo Mwanza ilikuwa inakimbilia 1,200,000mil
 
Asee, wewe unaishi wapi?
Unavyosema population arusha ni kubwa sijakuelewa unazungumzia arusha ya nchi gani ?

Latest updates ya mwaka jana haikuzidi 500,000 ambapo Mwanza ilikuwa inakimbilia 1,200,000mil
Acha fix mwanza haiwezi kufika watu milioni moja, sensa ya mwisho 2012 mwanza ilikua na watu 650000 kwa growth rate kwa mwaka haizidi asilimia 5 ,sasa kwa staili hiyo watu milioni moja na laki mbili wanafikaje.
 
Acha fix mwanza haiwezi kufika watu milioni moja, sensa ya mwisho 2012 mwanza ilikua na watu 650000 kwa growth rate kwa mwaka haizidi asilimia 5 ,sasa kwa staili hiyo watu milioni moja na laki mbili wanafikaje
Mwanza kwa projections za mwaka 2019 inakadiriwa kuwa na watu 3.6 Million ikiwa na growth rate ya 4%

Wakati arusha ina watu 2 Million na growth rate ya 2.6%
 
Licha ya Tanzania kuongoza Afrika Mashariki kwa wageni wanaotalii mbugani, bado Utalii wa Ndani, umeendelea kuwa chini kulinganisha na Nchi nyingine kama Kenya na hivyo kuendelea kudumaaa kwa Sekta ya Usafirishaji na ya Huduma hasa Mahoteli katika maeneo yaliyo mbali na Kanda Kuu za Kiutalii nchini za Northern Tourism Circuit - Arusha, Moshi, Mto wa Mbu na Karatu, pamoja na Visiwa vya Zanzibar. Tanzania ina utajiri mkubwa wa maliasili na vivutio vingi vya kitalii wa ndani, vinavyoweza kutangazwa kwa njia ya kushindanisha ubora wa Kanda mbalimbali nchini.

Jiji la Mwanza ni epicenter ya Kanda ya Ziwa inayoundwa na Mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Mara, Kagera, Simiyu na Geita. Lina influence pia kwa Mikoa ya Kigoma na Tabora.

Jiji la Arusha ni epicenter ya Kanda ya Kaskazini inayoundwa na Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Manyara na Tanga. Lina influence pia kwa Singida (na Dodoma kipindi cha nyuma).

Tafadhari weka bandiko lako lenye picha ama data ili kuweza kujenga vyema hoja iliyopo mezani. Hivyo, utakuwa vyema ikiweka suala lolote, lazima lijibiwe na Kanda nyingine ili kuleta ulinganishi.

Vigezo vya kushindanisha Majiji haya vipo hapo chini.
View attachment 806199
Jamaa umeanzisha uzi kibabe
 
Acha fix mwanza haiwezi kufika watu milioni moja, sensa ya mwisho 2012 mwanza ilikua na watu 650000 kwa growth rate kwa mwaka haizidi asilimia 5 ,sasa kwa staili hiyo watu milioni moja na laki mbili wanafikaje
Tatizo lenu vijana wa new age sijui mnawaza nini, hebu ingia kwenye database statistics za hiyo mikoa uangalie, acha kubwabwaja hapa hatuongelei low thinking but GREAT THINKING.


Au nikusaidie wewe yankee, ingia hapa:
👉🏾 World Population (2021) - Population Stat
 
Wachagga watatetea upande wao, na wasukuma watatetea upande wao. Lakini kwa upande wangu Mwanza is the best, and second largest city in Tanzania, ni jiji zuri na lenye mandhari nzuri yenye kuvutia kuliko majiji yote in Tanzania.

Top 3 yangu
Mwanza 1
Dar 2
Mbeya 3

Top 5 yangu
Morogoro
Geita
Dodoma
Arusha
Tanga
 
Jengeni mji wenu + barabara ndio mjisifu. Katikati ya mji mijengo ya kizamani. Msipokua makini kahama na Geita itawapiku
Jengeni mji wenu + barabara ndio mjisifu. Katikati ya mji mijengo ya kizamani. Msipokua makini kahama na Geita itawapiku
Wachagga watatetea upande wao, na wasukuma watatetea upande wao. Lakini kwa upande wangu Mwanza is the best, and second largest city in Tanzania, ni jiji zuri na lenye mandhari nzuri yenye kuvutia kuliko majiji yote in Tanzania.

Top 3 yangu
Mwanza 1
Dar 2
Mbeya 3

Top 5 yangu
Morogoro
Geita
Dodoma
Arusha
Tanga
Unaliharibu Jina la Maradona Kwa kuwa Na low thinking capacity...milele Na milele Mwanza haiwezi kuifikia Arusha
 
Back
Top Bottom