Jiji la Mwanza lachaguliwa na ATCL kama Kitovu cha Ndege za Tanzania zinazokwenda Ulaya

Aisee, market forces zitaamua tu mwisho wa siku
Watu walishafanya research long mzee. Kanda ya Ziwa ina abiria wengi wanaokwenda Ulaya ndio maana hulazimika kwenda kwanza Dar na hivyo kujikuta wamezunguka.
So kwa sasa hakuna kuzunguka. Na kulingana na taarifa za kiuchunguzi route ya Dar - Mwanza ndiyo ambayo huwa profitable katika route zote kiasi cha ATCL kufanya safari tatu kwa Siku. Kwingine ni mara moja ama mbili tu.
 
Watu walishafanya research long mzee. Kanda ya Ziwa ina abiria wengi wanaokwenda Ulaya ndio maana hulazimika kwenda kwanza Dar na hivyo kujikuta wamezunguka.
So kwa sasa hakuna kuzunguka. Na kulingana na taarifa za kiuchunguzi route ya Dar - Mwanza ndiyo ambayo huwa profitable katika route zote kiasi cha ATCL kufanya safari tatu kwa Siku. Kwingine ni mara moja ama mbili tu.
Sababu kubwa ni umbali Mkuu, hata mm nikiwa natoka dar kwenda mwanza sipandi basi, ni mbali mno kwa basi, bora ndege. Kwa ndege za kwenda ulaya hiyo route mtakuwa nayo nyie wa ATCL tu! Mtu hawezi kuacha option ya Emirates dar Dubai London apande Atcl Dar-mwanza-london. Hiyo ndege inaweza kutoka dar na abiria 20 wanaoenda London na abiria say 150 wanaoishia mwanza then mkachukua abiria 10 wanaotoka mwanza kwenda london alafu mkalitia hasara Taifa. Nyie endeleeni kuamini tafiti hewa zinazopelekea kumfurahisha mtu mmoja tu. Hatujafikia kuwa na commercial direct flight Mwanza kwenda ulaya. Hifadhi Maneno yangu
 
Sasa chato wamejenga uwanja wa nini? Wakati kanda ya ziwa mwanza airport na bukoba airport zinatosheleza

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka kukosoa chochote kile huwezi kushindwa mpaka muumba watu wana-question though muda mwingine ni out of curiosity.
Hata hivyo usiseme kwa kuwa kuna kiwanja Mwanza hauwezi ukawa na kiwanja Geita achilia mbali Chato kwani eneo hili la Kusini Magharibi ya Ziwa Victoria lina biashara kubwa ya madini kuliko eneo lolote Afrika Mashariki.
Nenda Ujerumani kuna viwanja vikubwa na vya maana Dusseldorf na cha Koln-Bonn viko karibu sana kama kutoka Dar hadi Chalinze. Hapohapo kuna Kiwanja kingine cha kimataifa cha Dortmund. Vyote vitatu vina abiria wengi kuliko Kiwanja cha Dar.
 
Sababu kubwa ni umbali Mkuu, hata mm nikiwa natoka dar kwenda mwanza sipandi basi, ni mbali mno kwa basi, bora ndege. Kwa ndege za kwenda ulaya hiyo route mtakuwa nayo nyie wa ATCL tu! Mtu hawezi kuacha option ya Emirates dar Dubai London apande Atcl Dar-mwanza-london. Hiyo ndege inaweza kutoka dar na abiria 20 wanaoenda London na abiria say 150 wanaoishia mwanza then mkachukua abiria 10 wanaotoka mwanza kwenda london alafu mkalitia hasara Taifa. Nyie endeleeni kuamini tafiti hewa zinazopelekea kumfurahisha mtu mmoja tu. Hatujafikia kuwa na commercial direct flight Mwanza kwenda ulaya. Hifadhi Maneno yangu
Gud observation but still naona umeshindwa kuona potentiality ya eneo la upande wa Magharibi ya Tanzania kuanzia Mbeya, Sumbawanga, Mpanda, Tabora, Singida, Kigoma, Shy, Kahama, Bukoba, Bariadi na Musoma.
So, Ndege za ATCL za kutoka Mbeya zinaweza kupitia Iringa, Dodoma hadi Mwanza na nyingine inaweza kuanzia hapo Mbeya kupitia Tabora hadi Mwanza.
Aisha, Ndege zetu zimeanza kwenda Harare na Lusaka hivyo tutakuwa katika nafasi ya kuchukua abiria kutoka Nchi hizo wanaosafiri kwenda Ulaya ukizingatia Kuwait Kwanzaa sasa Zambia haina Shirika lake wala Zimbabwe haliendi Ulaya hivyo tunaweza kuchukua baadhi ya abiria wa Nchi hizo pia.
No rahisi kwa Mwanza kuwa last destination ya ndege za ATCL zinazokwenda Ulaya kuliko kutumia route ya KIA ambako tayari kuna Mashirika ya Ndege ya kimataifa yenye nguvu kama Air Qatar, Fly Emirates, Ethiopian Airlines na KQ ya Kenya.
 
Gud observation but still naona umeshindwa kuona potentiality ya eneo la upande wa Magharibi ya Tanzania kuanzia Mbeya, Sumbawanga, Mpanda, Tabora, Singida, Kigoma, Shy, Kahama, Bukoba, Bariadi na Musoma.
So, Ndege za ATCL za kutoka Mbeya zinaweza kupitia Iringa, Dodoma hadi Mwanza na nyingine inaweza kuanzia hapo Mbeya kupitia Tabora hadi Mwanza.
Aisha, Ndege zetu zimeanza kwenda Harare na Lusaka hivyo tutakuwa katika nafasi ya kuchukua abiria kutoka Nchi hizo wanaosafiri kwenda Ulaya ukizingatia Kuwait Kwanzaa sasa Zambia haina Shirika lake wala Zimbabwe haliendi Ulaya hivyo tunaweza kuchukua baadhi ya abiria wa Nchi hizo pia.
No rahisi kwa Mwanza kuwa last destination ya ndege za ATCL zinazokwenda Ulaya kuliko kutumia route ya KIA ambako tayari kuna Mashirika ya Ndege ya kimataifa yenye nguvu kama Air Qatar, Fly Emirates, Ethiopian Airlines na KQ ya Kenya.
Lengo lenu kubwa ni kuinyima fursa KIA kwa kuwa tu inapatikana kaskazini mwa nchi.
Hata hayo makao makuu ya EAST AFRICA yaliyopo Arusha mnatafuta namna ya kuhamisha yaende Mwanza.
Watalii wanaoanzia Arusha kwenda Serengeti mnataka waanzie Mwanza kwenda Serengeti ili biashara za Arusha zife.
Mnada wa madini mnataka ujengwe Mererani na sio Arusha ili tu Arusha isikue kibiashara.
Nje ya mada mkuu,
Hivi si ulisema jf ni kwa ajili ya kuipindua serikali,sasa unatafuta nini huku?
 
Gud observation but still naona umeshindwa kuona potentiality ya eneo la upande wa Magharibi ya Tanzania kuanzia Mbeya, Sumbawanga, Mpanda, Tabora, Singida, Kigoma, Shy, Kahama, Bukoba, Bariadi na Musoma.
So, Ndege za ATCL za kutoka Mbeya zinaweza kupitia Iringa, Dodoma hadi Mwanza na nyingine inaweza kuanzia hapo Mbeya kupitia Tabora hadi Mwanza.
Aisha, Ndege zetu zimeanza kwenda Harare na Lusaka hivyo tutakuwa katika nafasi ya kuchukua abiria kutoka Nchi hizo wanaosafiri kwenda Ulaya ukizingatia Kuwait Kwanzaa sasa Zambia haina Shirika lake wala Zimbabwe haliendi Ulaya hivyo tunaweza kuchukua baadhi ya abiria wa Nchi hizo pia.
No rahisi kwa Mwanza kuwa last destination ya ndege za ATCL zinazokwenda Ulaya kuliko kutumia route ya KIA ambako tayari kuna Mashirika ya Ndege ya kimataifa yenye nguvu kama Air Qatar, Fly Emirates, Ethiopian Airlines na KQ ya Kenya.
Kwa hiyo mtu anatoka Zimbabwe kwenda London atapanda ndege ambayo itakuwa inakusanya abiria harare, Lusaka, Blantyre, Kigali, dar na mwanza then aende London? Ungekwa wewe ungeenda hivyo au ungepanda harare Johannesburg London??!
 
Lengo lenu kubwa ni kuinyima fursa KIA kwa kuwa tu inapatikana kaskazini mwa nchi.
Hata hayo makao makuu ya EAST AFRICA yaliyopo Arusha mnatafuta namna ya kuhamisha yaende Mwanza.
Watalii wanaoanzia Arusha kwenda Serengeti mnataka waanzie Mwanza kwenda Serengeti ili biashara za Arusha zife.
Mnada wa madini mnataka ujengwe Mererani na sio Arusha ili tu Arusha isikue kibiashara.
Nje ya mada mkuu,
Hivi si ulisema jf ni kwa ajili ya kuipindua serikali,sasa unatafuta nini huku?
Mzee yote hayo ya nini sasa? Hivi ukisema mnada wa madini kujengwa Mirerani badala ya Arusha mbona hauongelei Soko jipya la dhahabu lililozinduliwa hivi karibuni na PM huko Geita? Mbona halikujengwa jijini Mwanza lakini hausemi? Kwa hiyo hapo utasema Rais anataka kuiua Arusha na siyo Mwanza pia?
Probably Mungu ametuletea huyu Rais Magufuli mapema sana wakati hatujajiandaa kama Watanzania.
Yaani jione ulivyo mbinafsi unataka nyie wa mijini mtumie rasilimali za watu wa Manyara ili waendelee kuwa masikini, right?
Magufuli siyo mbaguzi kamwe ndiyo maana hadi leo how Kiwanja cha Mwanza hakijajengwa. Angekuwa mwingine asingeacha kiwanja chenye abiria wengi hivyo kucheleweshwa.
 
Ukitaka kukosoa chochote kile huwezi kushindwa mpaka muumba watu wana-question though muda mwingine ni out of curiosity.
Hata hivyo usiseme kwa kuwa kuna kiwanja Mwanza hauwezi ukawa na kiwanja Geita achilia mbali Chato kwani eneo hili la Kusini Magharibi ya Ziwa Victoria lina biashara kubwa ya madini kuliko eneo lolote Afrika Mashariki.
Nenda Ujerumani kuna viwanja vikubwa na vya maana Dusseldorf na cha Koln-Bonn viko karibu sana kama kutoka Dar hadi Chalinze. Hapohapo kuna Kiwanja kingine cha kimataifa cha Dortmund. Vyote vitatu vina abiria wengi kuliko Kiwanja cha Dar.
Kwa hiyo unazungumzia Dusseldorf, Dortmund unalinganisha na segerema, geita na chatto? Unajua industrial region inayoitwa Ruhl (sina uhakika na spelling) ilianza Mwaka gani? Na ilikuwa na viwanda vikubwa namna gani? Unafikiri soko la dhahabu ni sawa na mnada wa ng'ombe? Mwadui na Kahama si kuna viwanja vya ndege vya kusafirishia madini, je, viliwahi kuzidiwa? Fanyeni tu maamuzi ya kujifurahisha yasiyo na tija mtaona mwisho wake. Aliyetangulia katangulia tu msilazimishe mwanza iizidi dar kwani haifiki hata nusu ya kinondoni. Niwashauri tu komaeni hata mjenge bandar kubwa kuizidi dar! Kwani uwezo si mnao? Hapo itakuwa inapokea Mizigo mingi kutoka Asia, ulaya na marekani soon tunakuwa na uchumi wa kati
 
Tumejenga uwanja wa kisasa chattle....hamjaona? Tengueni maamuzi haraka
 
Watu walishafanya research long mzee. Kanda ya Ziwa ina abiria wengi wanaokwenda Ulaya ndio maana hulazimika kwenda kwanza Dar na hivyo kujikuta wamezunguka.
So kwa sasa hakuna kuzunguka. Na kulingana na taarifa za kiuchunguzi route ya Dar - Mwanza ndiyo ambayo huwa profitable katika route zote kiasi cha ATCL kufanya safari tatu kwa Siku. Kwingine ni mara moja ama mbili tu.
Sawa, lets wait and see
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom