The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
- Thread starter
- #41
Lol!!! Kazi kweli kweliTanga kwetu, kunywa viroba na joto hili la mchana wakati asubuhi hujaoga ni matatizo kwelikweli. Kapumzike ndugu yangu yaani kalale tuu, funda moja zaidi utaharibikiwa.