The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Nimeongea na ndugu jamaa na marafiki zangu wanasema ni hali ya kusikitisha iliyoko katika jiji la Mwanza na siku ya Tano kama sio wiki sasa hawajauona umeme, maisha yanazidi kuwa magumu waliokuwa wakifanya biashara ya samaki wameacha hawajui hatma itakuwa nini hawawezi kumudu kununua mafuta kwani nayo yamepanda bei, wengine wameingia hasara kubwa kutokana na umeme kutokuwepo muda wote huo.