Jiji la Moshi mliwakosea nini Toyota Tanzania Ltd? Hakuna Branch wala Authorized Parts Dealer

Aiseee, kutokuwa na duka lililo authorized haimaanishi eti mtu binafsi anashindwa nunua guniane parts na kuuza. Kwa Moshi na Arusha kupata guniane parts ni kama maji tu hapo Kenya boss..

Kuwa authorized ni tie za kibiashara zaidi kaka na unajifunga. Mchaga haishi hivyo sababu ya ujanja ujanja wake atataka auze spare parts 3 tofauti lakini za aina moja ili awe na wide range kwa mteja kuchagua atakayo afford.

Hilo ni jicho la kibiashara zaidi.. Na ndio maana Moshi ni Mji pekee ambao Tajiri wa kihindi havimbi kwa wazawa..
Mfunulie uyu jamaa, spea nyingi Moshi hutoka Kenya na kwa wafanyabiashara kuagiza genuine spare kenya ni cheap kuliko dubai
 
Mkuu, kwa hiyo sentence yako ya kwanza kabisa, umesomeka vyema kabisa, pamoja na hayo maelezo mengine.

So, kwasasa hapo Moshi, kuna Toyota Authorized Dealer yoyote?
Hayupo, Rajinder do all the works na sidhani kama Toyota wanaweza risk kuweka dealer mwingine hapo wakati Arusha tayari yupo..

Na kiukweli tu, hakuna anayepeleka gari Arusha hata Serikali wenyewe wanatengenezea hapo hapo..
 
Mfunulie uyu jamaa, spea nyingi Moshi hutoka Kenya na kwa wafanyabiashara kuagiza genuine spare kenya ni cheap kuliko dubai
Haswaaaaaa mkuu, ndio maana hata simu na other electronics Moshi na Arusha ni rahisi sana pia..
 
Haswaaaaaa mkuu, ndio maana hata simu na other electronics Moshi na Arusha ni rahisi sana pia..

Mkuu, is that true?

Naomba unifahamishe... mfano ile Toyota transmission oil (T-IV), kwa hapo Moshi ni bei gani? Ile genuine kabisa.

IMG_20200821_104023.jpg
 
Nenda Valment garage ndio huwa wana service magari ya serikali hapo moshi.
Wako vizuri nimewahi kuwa mteja hapo japo bei zimesimama sana
 
Wamakonde tunaruhusiwa kuchangia kwenye huu Uzi.Mana naona kama vita ya wasukuma na wachaga hivi .
Jamaa kaleta mada kishabiki mno.
smh.!
 
Kama umeshindwa kujua Moshi ni jiji au mji ni waz usinge weza kua wapi service ya toyota wangepata. Majengo kuna kiwanda cha Rajinda waunda wa toyota land cruza,hizi za utali. Pia alie kua mkuu wa mkoa Darsalam makonda alisha peleka gari mbov za polic kufanyie service hapo.... Pia wanafanya servic ya gari pesa yako tu
 
Moshi yote:

*Hakuna Toyota branch;

* Hakuna Authorized Dealer;

* Hakuna Authorized Service Workshop;

*Hakuna hata Authorized Parts Dealer

Nilisikiaga kuwa Moshi ni jiji, why Toyota Tanzania Ltd alipe kisogo jiji hilo la wajuaji?

Kuna jamaa zangu hapo wamefika mji huo jioni ya leo na kuhitaji service za magari yao, wameamua waghaili waende Arusha for services ndipo waendelee na safari.

Wanahitaji genuine Toyota parts, ila kila gereji wanayoelekezwa kwenda hapo Moshi mjini wanakuta ni zile workshops za 'Oil bei chee, oil filter tsh 5,000' 😁

Wakawauliza: Oil Filter og bei gani? Jamaa akawajibu: "Oil filter og Toyota ni Elfu 10 tu bwashee, sogezeni magari tuwape huduma za uhakika aisssee" 😂😂

Washkaji wamesepa Ara for cars' services! Moshi hamna kitu, pamejaa fake spare parts tu za kuua magari.
Kweli tupu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom