Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,869
NdioBut bado wanatoa huduma bora siyo?
NdioBut bado wanatoa huduma bora siyo?
Moshi ,majengoHawa wanapatikana wapi mkuu
Ahsante boss, ngoja niwatafute.Moshi ,majengo
Sikuwahi kujua hili mkuu, Ila nitapita pale nione kama lile bango la TOYOTA wamelitoa au bado lipo wanafanyia nalo utapeli.Toyota alishakata dealership kwa Rajinder Motors muda mrefu sana tangu mwaka 2013.
Rajinder Motors is no longer an Authorized Toyota Dealer in Moshi town.
Toyota cuts ties with Moshi vehicle agent
View attachment 1543663
Mfunulie uyu jamaa, spea nyingi Moshi hutoka Kenya na kwa wafanyabiashara kuagiza genuine spare kenya ni cheap kuliko dubaiAiseee, kutokuwa na duka lililo authorized haimaanishi eti mtu binafsi anashindwa nunua guniane parts na kuuza. Kwa Moshi na Arusha kupata guniane parts ni kama maji tu hapo Kenya boss..
Kuwa authorized ni tie za kibiashara zaidi kaka na unajifunga. Mchaga haishi hivyo sababu ya ujanja ujanja wake atataka auze spare parts 3 tofauti lakini za aina moja ili awe na wide range kwa mteja kuchagua atakayo afford.
Hilo ni jicho la kibiashara zaidi.. Na ndio maana Moshi ni Mji pekee ambao Tajiri wa kihindi havimbi kwa wazawa..
Hayupo, Rajinder do all the works na sidhani kama Toyota wanaweza risk kuweka dealer mwingine hapo wakati Arusha tayari yupo..Mkuu, kwa hiyo sentence yako ya kwanza kabisa, umesomeka vyema kabisa, pamoja na hayo maelezo mengine.
So, kwasasa hapo Moshi, kuna Toyota Authorized Dealer yoyote?
Haswaaaaaa mkuu, ndio maana hata simu na other electronics Moshi na Arusha ni rahisi sana pia..Mfunulie uyu jamaa, spea nyingi Moshi hutoka Kenya na kwa wafanyabiashara kuagiza genuine spare kenya ni cheap kuliko dubai
Sifahamu mkuu, sijawahi kumiliki gari ya Toyota wajuzi hapa nadhani watakuja kulijibia..Mkuu, is that true?
Naomba unifahamishe... mfano ile Toyota transmission oil (T-IV), kwa hapo Moshi ni bei gani? Ile genuine kabisa.
View attachment 1543718
Arusha kuna duka linaitwa Mclin karibu na geti la kaloleni sec. Niliipata 145000Mkuu, is that true?
Naomba unifahamishe... mfano ile Toyota transmission oil (T-IV), kwa hapo Moshi ni bei gani? Ile genuine kabisa.
View attachment 1543718
Jamaa kazingua hapo tuuUmeandika kishabiki sana
MmmhKabisa mkuu. Nimecheki na website ya Toyota Tanzania Ltd, kwenye orodha ya Authorized Dealers wao wote nchi nzima, Moshi haimo kabisa! Hii imenishangaza.
Mji wa Kahama pembeni mwa nchi huko, kuna Dealer. Ila Moshi hakuna!!
Toyota Tanzania Ltd.: Dealer Network
Kweli tupu.Moshi yote:
*Hakuna Toyota branch;
* Hakuna Authorized Dealer;
* Hakuna Authorized Service Workshop;
*Hakuna hata Authorized Parts Dealer
Nilisikiaga kuwa Moshi ni jiji, why Toyota Tanzania Ltd alipe kisogo jiji hilo la wajuaji?
Kuna jamaa zangu hapo wamefika mji huo jioni ya leo na kuhitaji service za magari yao, wameamua waghaili waende Arusha for services ndipo waendelee na safari.
Wanahitaji genuine Toyota parts, ila kila gereji wanayoelekezwa kwenda hapo Moshi mjini wanakuta ni zile workshops za 'Oil bei chee, oil filter tsh 5,000' 😁
Wakawauliza: Oil Filter og bei gani? Jamaa akawajibu: "Oil filter og Toyota ni Elfu 10 tu bwashee, sogezeni magari tuwape huduma za uhakika aisssee" 😂😂
Washkaji wamesepa Ara for cars' services! Moshi hamna kitu, pamejaa fake spare parts tu za kuua magari.