Jiji la Mbeya msinunue gari la Meya, mtujengee madarasa kwanza

Mwanah

JF-Expert Member
May 7, 2013
353
101
HALMASHAURI YA JIJI MBEYA KUWENI NA HURUMA!

Katika hali ya kushangaza, halmashauri ya jiji la Mbeya imepanga kununua gari la kifahari la kutembelea Meya wa jiji la Mbeya ambaye pia inasemekana ni mchungaji eti.

Yote haya yanapangwa wakati watoto wengi wa shule za msingi waliofaulu kujiunga na kidato cha kwanza wameshindwa kuanza masomo yao kwa sababu ya ukosefu wa miundo mbinu ikiwemo madarasa na madawati.

Nashauri kiwango cha shilingi milioni mia moja na hamsini kilichopangwa kutumiaka kwa ajili hiyo kielekezwe kujengea madarasa badala ya kununua gari la meya la kifahali ukizingatia kuwa tayari lipo gari lingine analotembelea sasa.

Na ikumbukwe kuwa wanafunzi zaidi wataongezeka mwakani na miundo mbinu ikiwa bado haijaongezwa ni hatari kwa ustawi wa watoto wetu.

Nafahamu halmashauri hii inaongozwa na CHADEMA na naamini CHADEMA ni wasikivu huenda wakaliona hili.

Wenu katika kujenga Mbeya yetu ni mimi mwananchi na mwanachama wa ACT Wazalendo!
 
Siasa ni sehemu ya majungu
Ccm watawapinga chadema
Chadema watawapinga ccm

Hapo kinacho takiwa ni busara za hao wawakilishi wa wanchi

Sasa kama wamekosa busara tegemea ombi lako halifanyiwi kazi
 
wakati huo pia huruma hiyo ielekezwe kwa mh. sana kwamba badala ya kupeteza mabilion kununua viongozi WA upinzani na kurudia rudia uchaguzi Pesa hizo pia zielekezwe kwenye miradi ya maendeleo maana NI nyingi zaid ya mara 100000 kuliko hizo za.gari la.huyo mayor ACHENI UNAFIKI.
 
Hivi watoto wa shule kukaa chini ni jambo la kushangaza nchi hii kama hata DAR kuna shule watoto wanakaa chini sembuse iwe Mbeya.Basi na makonda asingekarabati ofisi yake pesa yote angeenda kununua madawati.Au hata Raisi asingeweka mafuta kwenye gari zake ili hiyo hela inunue madawati.
 
HALMASHAURI YA JIJI MBEYA KUWENI NA HURUMA!

Katika hali ya kushangaza, halmashauri ya jiji la Mbeya imepanga kununua gari la kifahari la kutembelea Meya wa jiji la Mbeya ambaye pia inasemekana ni mchungaji eti.

Yote haya yanapangwa wakati watoto wengi wa shule za msingi waliofaulu kujiunga na kidato cha kwanza wameshindwa kuanza masomo yao kwa sababu ya ukosefu wa miundo mbinu ikiwemo madarasa na madawati.

Nashauri kiwango cha shilingi milioni mia moja na hamsini kilichopangwa kutumiaka kwa ajili hiyo kielekezwe kujengea madarasa badala ya kununua gari la meya la kifahali ukizingatia kuwa tayari lipo gari lingine analotembelea sasa.

Na ikumbukwe kuwa wanafunzi zaidi wataongezeka mwakani na miundo mbinu ikiwa bado haijaongezwa ni hatari kwa ustawi wa watoto wetu.

Nafahamu halmashauri hii inaongozwa na CHADEMA na naamini CHADEMA ni wasikivu huenda wakaliona hili.

Wenu katika kujenga Mbeya yetu ni mimi mwananchi na mwanachama wa ACT Wazalendo!
Enyi wanafki lilieni Pesa za kuwanunulia wabunge na madiwani
 
wakati huo pia huruma hiyo ielekezwe kwa mh. sana kwamba badala ya kupeteza mabilion kununua viongozi WA upinzani na kurudia rudia uchaguzi Pesa hizo pia zielekezwe kwenye miradi ya maendeleo maana NI nyingi zaid ya mara 100000 kuliko hizo za.gari la.huyo mayor ACHENI UNAFIKI.
Ni kweli ni aibu kununua madiwani wakati kuna changamoto nyingi za kiuchumi na kihuduma
 
Huu ushauri kama ungeulekeza kwa viongizi wa CCM ungeleta tija sana, waambie gharama za kurudia uchaguzi zilikuwa nyingi sana nabhata hizi hongo zimetumia hela nyingi sana.
Kama kununua gari la Meya hakujavunja sheria yoyote ile basi kaa kimya kama ulivyofanya kwenye marudio ya uchaguzi wa mauji.
 
uzae watoto alafu madarasa yajengwe kwa bajeti ya meya? kweli we n kalio mwili mzima
mlipoambiwa elimu bure c mlikenyua meno? na bado
 
Huu ushauri kama ungeulekeza kwa viongizi wa CCM ungeleta tija sana, waambie gharama za kurudia uchaguzi zilikuwa nyingi sana nabhata hizi hongo zimetumia hela nyingi sana.
Kama kununua gari la Meya hakujavunja sheria yoyote ile basi kaa kimya kama ulivyofanya kwenye marudio ya uchaguzi wa mauji.
yalipoambiwa elimu bure c yalikenyua meno?
 
Ni kweli ni aibu kununua madiwani wakati kuna changamoto nyingi za kiuchumi na kihuduma
mnafiki wewe sasa ktk post yako MBNA hukushangaa kunuliwa madiwan na kurudia uchaguz kwa ma bilioni unashupalia gari ya meya? ulitaka meya atembelee baiskeli? shwaini wewe una chuki na cdm kenge
 
HALMASHAURI YA JIJI MBEYA KUWENI NA HURUMA!

Katika hali ya kushangaza, halmashauri ya jiji la Mbeya imepanga kununua gari la kifahari la kutembelea Meya wa jiji la Mbeya ambaye pia inasemekana ni mchungaji eti.

Yote haya yanapangwa wakati watoto wengi wa shule za msingi waliofaulu kujiunga na kidato cha kwanza wameshindwa kuanza masomo yao kwa sababu ya ukosefu wa miundo mbinu ikiwemo madarasa na madawati.

Nashauri kiwango cha shilingi milioni mia moja na hamsini kilichopangwa kutumiaka kwa ajili hiyo kielekezwe kujengea madarasa badala ya kununua gari la meya la kifahali ukizingatia kuwa tayari lipo gari lingine analotembelea sasa.

Na ikumbukwe kuwa wanafunzi zaidi wataongezeka mwakani na miundo mbinu ikiwa bado haijaongezwa ni hatari kwa ustawi wa watoto wetu.

Nafahamu halmashauri hii inaongozwa na CHADEMA na naamini CHADEMA ni wasikivu huenda wakaliona hili.

Wenu katika kujenga Mbeya yetu ni mimi mwananchi na mwanachama wa ACT Wazalendo!
Mayor endelea na mchakato ile wanayo nunulia wabunge na madiwani ndo ifanye hiyo kazi
 
Mayor endelea na mchakato ile wanayo nunulia wabunge na madiwani ndo ifanye hiyo kazi
umenenaaaa
hii mijitu n kama misukule
izae watoto alafu itegemee bajeti ya gari ya meya kuwajengea madarasa
wamwambie aliewaambia elimu bure
 
Jambo hilo kama kweli basi Sawa kwa kuwa CHADEMA wanapaswa kuwa sehemu ya mfano kiutendaji kwa serikali ya CCM..........
 
Back
Top Bottom