Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,204
- 12,700
Hii timu ilianza vizuri na ilikuwa mashabiki wengi sana. Lakini miaka ya karibuni inakufa kidogokidogo na msimu huu sidhani kama itaweza kubaki ligi kuu. Ni wazi kuwa wamiliki wake wameshindwa kabisa kuiendesha na nafikiri halmashauri kupunguziwa sehemu ya mapato kumechangia.
Naona kuwa uamuzi wa busara ni kuiuza hii timu walau mpate chochote vinginevyo inaenda kuwafia kabisa. Uzeni na pesa fanyieni jambo la maana kama shule au kujenga uwanja wa michezo.
Naona kuwa uamuzi wa busara ni kuiuza hii timu walau mpate chochote vinginevyo inaenda kuwafia kabisa. Uzeni na pesa fanyieni jambo la maana kama shule au kujenga uwanja wa michezo.