Jiji la Mbeya lingeiuza club ya Mbeya City

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Jan 31, 2021
7,204
12,698
Hii timu ilianza vizuri na ilikuwa mashabiki wengi sana. Lakini miaka ya karibuni inakufa kidogokidogo na msimu huu sidhani kama itaweza kubaki ligi kuu. Ni wazi kuwa wamiliki wake wameshindwa kabisa kuiendesha na nafikiri halmashauri kupunguziwa sehemu ya mapato kumechangia.

Naona kuwa uamuzi wa busara ni kuiuza hii timu walau mpate chochote vinginevyo inaenda kuwafia kabisa. Uzeni na pesa fanyieni jambo la maana kama shule au kujenga uwanja wa michezo.
 
Cheki walipo.
Screenshot_20210308-151051.jpg
 
Yani timu hiyo hiyo wauze wapate hela ya kutosha kujenga uwanja? Kuwa serious bro, Kwa Mbeya city hii labda wauze kisha wapate hela za kununulia noah used
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom