Uchaguzi 2020 Jiji la Mbeya, Hata kama mnampenda Mbilinyi (Sugu) msimchague. Ili mpate maendeleo chagueni CCM

naunga mkono hoja mkuu mungu akupe afya njema kwa hoja hii .mbeya siyo maskini wale watumwa wa ccm
Kwahiyo hapo ndipo akili yako ilipoishia?
Si ajabu kusikia nawewe umehitimu na kupewa cheti cha kidato cha 4.
Badala ya kumsema Rais ambaye fedha zote ziko mkononi mwake atende bila ya upendeleo wewe unawaambia wanaMBEYA wawacjague CCM ambao wameiharibu nchi kwa miaka 59 sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naongea haya kwa moyo safi. Nimetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nilienda Mbeya mwaka 2018.

Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.

Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.

Ushauri wangu:
Ili Jiji la Mbeya liendelee msimchague Joseph Mbilinyi. Mtasababisha matatizo mengine kwa jiji hilo.kwa saza wekeni maendeleo mbele.Sugu mnaweza mpatia kazi nyingine lakini si ubunge.

Kama mnampenda sana hata mumpatie cheo cha kaka wa Mwanjelwa but si ubunge. Chagueni mtu ambaye anakubalika na CCM.Ili sasa matakwa yenu yafike mbele ya Rais kwa urahisi na kufanyiwa kazi.

Mwaka 2020 bado Rais ni John P. Magufuli hilo linaeleweka. Sasa tumieni nafasi hii kwa mambo ya maendeleo.
una matatizo sana uchaguzi ni mioyo ya watu sasa huwezi kuamua mioyo ya watu
 
Endelea kuwadanganywa wapuuzi wenzio.wenye akili watatambua ninachosema. Wana Mbeya wengi nadhani wanaona mabadiliko yaliyoko sasa baada ya wao kurekebisha uhusiano wao na Mh. Rais. Mimi nmewashauri wajifunze kutokana na makosa.

Wakiendelea na Ujinga wa kujifanya wana misimamo watakuja kunambia.mkoa utasimama kwa miaka mitano mingine. Sasa sidhani kama wapo tayari kwa hilo.

We endelea tu kuchezesha hayo makalio hapo ...ntakupata tu.
maendeleo yana vyama
 
Mimi naongea haya kwa moyo safi. Nimetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nilienda Mbeya mwaka 2018.

Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.

Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.

Ushauri wangu:
Ili Jiji la Mbeya liendelee msimchague Joseph Mbilinyi. Mtasababisha matatizo mengine kwa jiji hilo.kwa saza wekeni maendeleo mbele.Sugu mnaweza mpatia kazi nyingine lakini si ubunge.

Kama mnampenda sana hata mumpatie cheo cha kaka wa Mwanjelwa but si ubunge. Chagueni mtu ambaye anakubalika na CCM.Ili sasa matakwa yenu yafike mbele ya Rais kwa urahisi na kufanyiwa kazi.

Mwaka 2020 bado Rais ni John P. Magufuli hilo linaeleweka. Sasa tumieni nafasi hii kwa mambo ya maendeleo.

Ni ukweli mchungu mkuu, ingawa watu wa Mbeya hupenda kujiamulia mambo yao wenyewe na huwa na misimamo mikali, tabia hii imechangia kuachwa pakubwa kimaendeleo ikilinganishwa na majiji mengine kwa sasa.

Kwa sasa Mbeya hakuna mradi hata mmoja wenye tija unaotekelezwa licha ya kuwa ni kitovu cha mikoa ya nyanda za juu kusini. Aidha, viongozi waliopo hawawezi kubuni mradi wowote wa maana kwa sababu tu za kisiasa.

Ni vigumu kuamini kuwa mkoa hauna supermarket yoyote kubwa na maana ambayo inaweza kutoa huduma hata kwa watalii kupata mahitaji yao ya msingi.

Mbeya inapakana na nchi mbili Zambia na Malawi, ambapo kumekuwa na biashara kati ya hizi nchi lakini ukiangalia mtizamo umewekwa zaidi katika mipaka ya kaskazini na inaonekana ndio kuna biashara kubwa zaidi. Mbeya na ukanda wote unavivutio vingi vya utalii lakini mkazo umewekwa ukanda wa kaskazini na ukanda wa ziwa kwa sasa. Siasa zinaimaliza Mbeya hakuna maendeleo.
 
Mimi naongea haya kwa moyo safi. Nimetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nilienda Mbeya mwaka 2018.

Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.

Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.

Ushauri wangu:
Ili Jiji la Mbeya liendelee msimchague Joseph Mbilinyi. Mtasababisha matatizo mengine kwa jiji hilo.kwa saza wekeni maendeleo mbele.Sugu mnaweza mpatia kazi nyingine lakini si ubunge.

Kama mnampenda sana hata mumpatie cheo cha kaka wa Mwanjelwa but si ubunge. Chagueni mtu ambaye anakubalika na CCM.Ili sasa matakwa yenu yafike mbele ya Rais kwa urahisi na kufanyiwa kazi.

Mwaka 2020 bado Rais ni John P. Magufuli hilo linaeleweka. Sasa tumieni nafasi hii kwa mambo ya maendeleo.
Mshenzi tu wewe
 
Ni ukweli mchungu mkuu, ingawa watu wa Mbeya hupenda kujiamulia mambo yao wenyewe na huwa na misimamo mikali, tabia hii imechangia kuachwa pakubwa kimaendeleo ikilinganishwa na majiji mengine kwa sasa.

Kwa sasa Mbeya hakuna mradi hata mmoja wenye tija unaotekelezwa licha ya kuwa ni kitovu cha mikoa ya nyanda za juu kusini. Aidha, viongozi waliopo hawawezi kubuni mradi wowote wa maana kwa sababu tu za kisiasa.

Ni vigumu kuamini kuwa mkoa hauna supermarket yoyote kubwa na maana ambayo inaweza kutoa huduma hata kwa watalii kupata mahitaji yao ya msingi.

Mbeya inapakana na nchi mbili Zambia na Malawi, ambapo kumekuwa na biashara kati ya hizi nchi lakini ukiangalia mtizamo umewekwa zaidi katika mipaka ya kaskazini na inaonekana ndio kuna biashara kubwa zaidi. Mbeya na ukanda wote unavivutio vingi vya utalii lakini mkazo umewekwa ukanda wa kaskazini na ukanda wa ziwa kwa sasa. Siasa zinaimaliza Mbeya hakuna maendeleo.
Mjinga sana wewe
 
Mbeya chini ya mh Mbilinyi imezidi kuchanua
Inaeleweka wazi kuwa mbunge pekee HALETI maendeleo, ila anashirikiana na wananchi kuhamasisha maendeleo kwa kuikumbusha serikali na kufuatilia nini kilipaswe kifanywe, ndio kusema mbunge anawasemea wananchi.

Swali langu ni Mh. Sugu amehamasisha mangapi na amesaidia mangapi kufanyika. Kwa ajili ya maendeleo ya wana Mbeya? Vipi hali ikoje tangu alipoanza na hadi sasa? Majibu ya maswali haya ndiyo picha halisi kua anafaa au imetosha awaachie wengine!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naongea haya kwa moyo safi. Nimetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nilienda Mbeya mwaka 2018.

Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.

Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.

Ushauri wangu:
Ili Jiji la Mbeya liendelee msimchague Joseph Mbilinyi. Mtasababisha matatizo mengine kwa jiji hilo.kwa saza wekeni maendeleo mbele.Sugu mnaweza mpatia kazi nyingine lakini si ubunge.

Kama mnampenda sana hata mumpatie cheo cha kaka wa Mwanjelwa but si ubunge. Chagueni mtu ambaye anakubalika na CCM.Ili sasa matakwa yenu yafike mbele ya Rais kwa urahisi na kufanyiwa kazi.

Mwaka 2020 bado Rais ni John P. Magufuli hilo linaeleweka. Sasa tumieni nafasi hii kwa mambo ya maendeleo.
hatutaki maendeleo tunamtaka sugu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KABISA. WENYE AKILI WATAKUELEWA. NYUMBUS WONT UNDERSTAND YOU.


Ni ukweli mchungu mkuu, ingawa watu wa Mbeya hupenda kujiamulia mambo yao wenyewe na huwa na misimamo mikali, tabia hii imechangia kuachwa pakubwa kimaendeleo ikilinganishwa na majiji mengine kwa sasa.

Kwa sasa Mbeya hakuna mradi hata mmoja wenye tija unaotekelezwa licha ya kuwa ni kitovu cha mikoa ya nyanda za juu kusini. Aidha, viongozi waliopo hawawezi kubuni mradi wowote wa maana kwa sababu tu za kisiasa.

Ni vigumu kuamini kuwa mkoa hauna supermarket yoyote kubwa na maana ambayo inaweza kutoa huduma hata kwa watalii kupata mahitaji yao ya msingi.

Mbeya inapakana na nchi mbili Zambia na Malawi, ambapo kumekuwa na biashara kati ya hizi nchi lakini ukiangalia mtizamo umewekwa zaidi katika mipaka ya kaskazini na inaonekana ndio kuna biashara kubwa zaidi. Mbeya na ukanda wote unavivutio vingi vya utalii lakini mkazo umewekwa ukanda wa kaskazini na ukanda wa ziwa kwa sasa. Siasa zinaimaliza Mbeya hakuna maendeleo.
 
Unataka tuchague ccm ili tuwe kama

Butiama (Nimrod mkono)ccm
Chato ( Mzee baba)ccm
Kongwa( Ndugai)ccm
Mtera (Lusinde)ccm
Musoma (Mathayo)ccm
Newala (ccm)
Kilindi(ccm)
Bahi(ccm)
Nk

Ndio hao unataka tufanane nao?!

Shame on you!!


Mimi naongea haya kwa moyo safi. Nimetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nilienda Mbeya mwaka 2018.

Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.

Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.

Ushauri wangu:
Ili Jiji la Mbeya liendelee msimchague Joseph Mbilinyi. Mtasababisha matatizo mengine kwa jiji hilo.kwa saza wekeni maendeleo mbele.Sugu mnaweza mpatia kazi nyingine lakini si ubunge.

Kama mnampenda sana hata mumpatie cheo cha kaka wa Mwanjelwa but si ubunge. Chagueni mtu ambaye anakubalika na CCM.Ili sasa matakwa yenu yafike mbele ya Rais kwa urahisi na kufanyiwa kazi.

Mwaka 2020 bado Rais ni John P. Magufuli hilo linaeleweka. Sasa tumieni nafasi hii kwa mambo ya maendeleo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom