Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,982
Mimi naongea haya kwa moyo safi. Nimetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nilienda Mbeya mwaka 2018.
Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.
Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.
Ushauri wangu:
Ili Jiji la Mbeya liendelee msimchague Joseph Mbilinyi. Mtasababisha matatizo mengine kwa jiji hilo.kwa saza wekeni maendeleo mbele.Sugu mnaweza mpatia kazi nyingine lakini si ubunge.
Kama mnampenda sana hata mumpatie cheo cha kaka wa Mwanjelwa but si ubunge. Chagueni mtu ambaye anakubalika na CCM.Ili sasa matakwa yenu yafike mbele ya Rais kwa urahisi na kufanyiwa kazi.
Mwaka 2020 bado Rais ni John P. Magufuli hilo linaeleweka. Sasa tumieni nafasi hii kwa mambo ya maendeleo.
Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.
Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.
Ushauri wangu:
Ili Jiji la Mbeya liendelee msimchague Joseph Mbilinyi. Mtasababisha matatizo mengine kwa jiji hilo.kwa saza wekeni maendeleo mbele.Sugu mnaweza mpatia kazi nyingine lakini si ubunge.
Kama mnampenda sana hata mumpatie cheo cha kaka wa Mwanjelwa but si ubunge. Chagueni mtu ambaye anakubalika na CCM.Ili sasa matakwa yenu yafike mbele ya Rais kwa urahisi na kufanyiwa kazi.
Mwaka 2020 bado Rais ni John P. Magufuli hilo linaeleweka. Sasa tumieni nafasi hii kwa mambo ya maendeleo.