EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,083
Jiji la Dar ndio jiji muhimu zaidi kwa uchumi wa Tanzania.
Kwasababu asilimia 99 ya vitu vyote vinavyo tumiwa na watanzania hadi wale wa vijijini vinatokea Dar es Salaam
1. Mafuta ya magari na bodaboda zote
2. Viatu na nguo toka nje ya nchi
3. Mafuta ya kula na taa
4. Vifaa vya ujenzi vyoteee
Naomba wengine mnisaidie kumalizia.
Hivyo basi ndugu zangu Dar ndio kitovu maendeleo ya Tanzania. Mkuu wa mkoa wa Dar akisema aamue kuifunga Dar wiki moja tu hata wale bibi zetu wa vijijini kuna huduma watazikosa.
Kwasababu asilimia 99 ya vitu vyote vinavyo tumiwa na watanzania hadi wale wa vijijini vinatokea Dar es Salaam
1. Mafuta ya magari na bodaboda zote
2. Viatu na nguo toka nje ya nchi
3. Mafuta ya kula na taa
4. Vifaa vya ujenzi vyoteee
Naomba wengine mnisaidie kumalizia.
Hivyo basi ndugu zangu Dar ndio kitovu maendeleo ya Tanzania. Mkuu wa mkoa wa Dar akisema aamue kuifunga Dar wiki moja tu hata wale bibi zetu wa vijijini kuna huduma watazikosa.