Jiji la Dar es Salaam litende haki kwa wajasiriamali Mbezi Bus Terminal

vamda

JF-Expert Member
Aug 1, 2012
865
535
Habari watanzania wezangu.

Jiji la DSM limewataka wajasiriamali watume maombi ili wapewe nafasi.

Nimesikia waombaji ni wengi kuliko wanaohitajika. Jiji limesema kwamba waombaji waambatanishe barua toka serikali za mitaa.

Kigezo cha barua ya Serikali ya mtaa peke yake hakitoshi kumhalalisha mwombaji aonekane kuwa ni raia wa tanzania maana barua hiyo inaonesha mhusika ni mkazi wa eneo hilo. Haithibitishi uraia wake.

Vitumike vigezo vya mwombaji aambatanishe kitambulisho cha uraia na pia kitambulisho cha ujasiriamali. Vinginevyo jiji mtapata shida ya kuwapitisha waombaji. Au kibongobongo utumike utaratibu wa rushwa au upendeleo usiokuwa na tija.

Jiji DSM, wajasiriamali wanawategemea muwatendee haki. Rudisheni heshima ya jiji kuwa mahali salama kama lilivyokuwa hapo awali. RUSHWA na UPENDELEO wekeni pembeni. Kila la kheri kwenye mchakato wa kuwachagua wajasiriamali watakaoenda kuhudumia stendi mpya ya MBEZI BUS TERMINAL.
 
Hii ni nchi ya matajiri wa uchumi wa kari ndio maana tuna mandege na tumekataa misaada, na hata hela walizotupa msaada tumezitupa baharini, wafanye walitakalo sasa, sisi tuko kwenye Vita ya uchumi.
 
Sitegemei kuona mmachinga yeyote anaruhusiwa kufanya biashara kwenye hii stendi.. Wamachinga wameshatengewa maeneo ya kutosha ya kufanya biashara zisizo rasmi katika jiji la Dar.. Stendi hii iachwe ili ikidhi viwango vya kimataifa kama ilivyo terminal 3 building pale JNiA.
Wamachinga waishie kwenye stendi ya dala dala.. Hii stendi waruhusiwe watu wa Uber, taxi za kawaida nk.. Hata Bajaj na Boda boda 'zisikanyage' humo.
Biashara nyingine zote zifanyike ndani ya 'frem'.
 
Habari watanzania wezangu.

Jiji la DSM limewataka wajasiriamali watume maombi ili wapewe nafasi.

Nimesikia waombaji ni wengi kuliko wanaohitajika. Jiji limesema kwamba waombaji waambatanishe barua toka serikali za mitaa.

Kigezo cha barua ya Serikali ya mtaa peke yake hakitoshi kumhalalisha mwombaji aonekane kuwa ni raia wa tanzania maana barua hiyo inaonesha mhusika ni mkazi wa eneo hilo. Haithibitishi uraia wake.

Vitumike vigezo vya mwombaji aambatanishe kitambulisho cha uraia na pia kitambulisho cha ujasiriamali. Vinginevyo jiji mtapata shida ya kuwapitisha waombaji. Au kibongobongo utumike utaratibu wa rushwa au upendeleo usiokuwa na tija.

Jiji DSM, wajasiriamali wanawategemea muwatendee haki. Rudisheni heshima ya jiji kuwa mahali salama kama lilivyokuwa hapo awali. RUSHWA na UPENDELEO wekeni pembeni. Kila la kheri kwenye mchakato wa kuwachagua wajasiriamali watakaoenda kuhudumia stendi mpya ya MBEZI BUS TERMINAL.

Screen Shot 2020-11-25 at 3.31.33 PM.png


Screen Shot 2020-11-25 at 3.32.45 PM.png
 
Habari watanzania wezangu.

Jiji la DSM limewataka wajasiriamali watume maombi ili wapewe nafasi.

Nimesikia waombaji ni wengi kuliko wanaohitajika. Jiji limesema kwamba waombaji waambatanishe barua toka serikali za mitaa.

Kigezo cha barua ya Serikali ya mtaa peke yake hakitoshi kumhalalisha mwombaji aonekane kuwa ni raia wa tanzania maana barua hiyo inaonesha mhusika ni mkazi wa eneo hilo. Haithibitishi uraia wake.

Vitumike vigezo vya mwombaji aambatanishe kitambulisho cha uraia na pia kitambulisho cha ujasiriamali. Vinginevyo jiji mtapata shida ya kuwapitisha waombaji. Au kibongobongo utumike utaratibu wa rushwa au upendeleo usiokuwa na tija.

Jiji DSM, wajasiriamali wanawategemea muwatendee haki. Rudisheni heshima ya jiji kuwa mahali salama kama lilivyokuwa hapo awali. RUSHWA na UPENDELEO wekeni pembeni. Kila la kheri kwenye mchakato wa kuwachagua wajasiriamali watakaoenda kuhudumia stendi mpya ya MBEZI BUS TERMINAL.
 
We nawe, Umekuja kuandika nini hapa.
Vitu vingine kunywa maji ulale
 
Habari watanzania wezangu.

Jiji la DSM limewataka wajasiriamali watume maombi ili wapewe nafasi.

Nimesikia waombaji ni wengi kuliko wanaohitajika. Jiji limesema kwamba waombaji waambatanishe barua toka serikali za mitaa.

Kigezo cha barua ya Serikali ya mtaa peke yake hakitoshi kumhalalisha mwombaji aonekane kuwa ni raia wa tanzania maana barua hiyo inaonesha mhusika ni mkazi wa eneo hilo. Haithibitishi uraia wake.

Vitumike vigezo vya mwombaji aambatanishe kitambulisho cha uraia na pia kitambulisho cha ujasiriamali. Vinginevyo jiji mtapata shida ya kuwapitisha waombaji. Au kibongobongo utumike utaratibu wa rushwa au upendeleo usiokuwa na tija.

Jiji DSM, wajasiriamali wanawategemea muwatendee haki. Rudisheni heshima ya jiji kuwa mahali salama kama lilivyokuwa hapo awali. RUSHWA na UPENDELEO wekeni pembeni. Kila la kheri kwenye mchakato wa kuwachagua wajasiriamali watakaoenda kuhudumia stendi mpya ya MBEZI BUS TERMINAL.
Kuna watu akili zao hazina afya.
Mtoa mada ni miongoni mwao.
Je,kwa watu ambao hawajafanikiwa kupata kitambulisho au namba ya NIDA kwasababu za hapa na pale?.
Je, kwa wajasiriamali wapya ambao awamu ya kwanza hawajapata kitambulisho cha Ujasiriamaali?
 
Habari watanzania wezangu.

Jiji la DSM limewataka wajasiriamali watume maombi ili wapewe nafasi.

Nimesikia waombaji ni wengi kuliko wanaohitajika. Jiji limesema kwamba waombaji waambatanishe barua toka serikali za mitaa.

Kigezo cha barua ya Serikali ya mtaa peke yake hakitoshi kumhalalisha mwombaji aonekane kuwa ni raia wa tanzania maana barua hiyo inaonesha mhusika ni mkazi wa eneo hilo. Haithibitishi uraia wake.

Vitumike vigezo vya mwombaji aambatanishe kitambulisho cha uraia na pia kitambulisho cha ujasiriamali. Vinginevyo jiji mtapata shida ya kuwapitisha waombaji. Au kibongobongo utumike utaratibu wa rushwa au upendeleo usiokuwa na tija.

Jiji DSM, wajasiriamali wanawategemea muwatendee haki. Rudisheni heshima ya jiji kuwa mahali salama kama lilivyokuwa hapo awali. RUSHWA na UPENDELEO wekeni pembeni. Kila la kheri kwenye mchakato wa kuwachagua wajasiriamali watakaoenda kuhudumia stendi mpya ya MBEZI BUS TERMINAL.
kwani wameongeza mda? maana dealine ilikuwa 25 november 2020 kwa namna ambavyo mimi nilisikia kwenye matangazo yao.
 
Kuna watu akili zao hazina afya.
Mtoa mada ni miongoni mwao.
Je,kwa watu ambao hawajafanikiwa kupata kitambulisho au namba ya NIDA kwasababu za hapa na pale?.
Je, kwa wajasiriamali wapya ambao awamu ya kwanza hawajapata kitambulisho cha Ujasiriamaali?
1.kuhusu kitambulisho cha taifa ambao hawajapata wamepewa namba, kama wewe bado hujapata usiendekeze uvivu fuatilia
2.kuhusu vitambulisho vya wajasiriamali vinapatikana kwenye ofisi za kata. Kama huelewi ni vema uulize badala ya kuwahukumu watu
 
Haki tutaikuta mbinguni mkuu (kama kweli kuna mbingu) huku chini ya jua ni uwanja wa fisi,,,huyu mupe huyu mulukee,,asante
 
Back
Top Bottom