Jiji la Arusha kumsaka meya wake

Shaycas

JF-Expert Member
Feb 13, 2009
906
110
Mussa Juma,Arusha
KAMPENI za kumsaka Meya wa jiji la
Arusha, zimeanza mjini hapa baada ya
kumalizika uchaguzi mkuu na
wagombea wa vyama vitatu vya
Chadema, CCM na TLP wanatajwa
kuwania nafasi hiyo.
Habari za uhakika kutoka ndani ya
vyama hivyo, zimebainisha kwamba
upande wa Chadema anayetajwa
kuwania nafasi hiyo ni Estomii Mallah,
CCM Poul loter Laizer na TLP anatajwa
Michael Kivuyo kuwania nafasi hiyo.
Hata hivyo, uwezekano wa Kivuyo
kupata nafasi hiyo, unaonekana ni
mgumu kwani kati ya madiwani wa
kuchaguliwa 20, TLP kuna diwani
mmoja tu, huku Chadema ikiwa na
madiwani tisa pomoja na mbunge na
CCM madiwani 10.
Diwani huyo wa TLP hata hivyo kura
yake moja ni muhimu katika vyama
vyote hatua ambayo sasa inaweza
kumfanya awe naibu meya wa jiji hasa
kutokana na uzoefu wake wa udiwani
kwa miaka 10 sasa.
Hata hivyo, Kama TLP wataunga mkono
Chadema, huenda Malla atakuwa Meya
wa Jiji la Arusha na na kusababisha
Halmashauri ya Jiji kuongozwa na
vyama vya upinzani.
Akizungumzia hali hiyo, kiongozi
mmoja wa CCM, alisema mpasuko wa
viongozi wa CCM wilaya ya Arusha
ambao unawagusa baadhi ya
madiwani pia huenda ukasababisha,
Laizer aliyewahi kuwa Meya kukosa
nafasi hiyo.
Hakuna kiongozi wa Chadema au TLP
ambao walikubali kwa sasa kutoa
 
Mussa Juma,Arusha
KAMPENI za kumsaka Meya wa jiji la
Arusha, zimeanza mjini hapa baada ya
kumalizika uchaguzi mkuu na
wagombea wa vyama vitatu vya
Chadema, CCM na TLP wanatajwa
kuwania nafasi hiyo.
Habari za uhakika kutoka ndani ya
vyama hivyo, zimebainisha kwamba
upande wa Chadema anayetajwa
kuwania nafasi hiyo ni Estomii Mallah,
CCM Poul loter Laizer na TLP anatajwa
Michael Kivuyo kuwania nafasi hiyo.
Hata hivyo, uwezekano wa Kivuyo
kupata nafasi hiyo, unaonekana ni
mgumu kwani kati ya madiwani wa
kuchaguliwa 20, TLP kuna diwani
mmoja tu, huku Chadema ikiwa na
madiwani tisa pomoja na mbunge na
CCM madiwani 10.
Diwani huyo wa TLP hata hivyo kura
yake moja ni muhimu katika vyama
vyote hatua ambayo sasa inaweza
kumfanya awe naibu meya wa jiji hasa
kutokana na uzoefu wake wa udiwani
kwa miaka 10 sasa.
Hata hivyo, Kama TLP wataunga mkono
Chadema, huenda Malla atakuwa Meya
wa Jiji la Arusha na na kusababisha
Halmashauri ya Jiji kuongozwa na
vyama vya upinzani.
Akizungumzia hali hiyo, kiongozi
mmoja wa CCM, alisema mpasuko wa
viongozi wa CCM wilaya ya Arusha
ambao unawagusa baadhi ya
madiwani pia huenda ukasababisha,
Laizer aliyewahi kuwa Meya kukosa
nafasi hiyo.
Hakuna kiongozi wa Chadema au TLP
ambao walikubali kwa sasa kutoa
Huu upangaji wa maandishi sifahamu unaitwaje kitaalamu, lakini naogopa unapoteza nafasi kubwa unnecessarily!

Juu ya suala la Meya wa Arusha, dawa ni kuunganisha nguvu hapo...vINGINEVYO maana hasa ya madiwani itapungua nguvu kama watakuwa chini ya bosi wao wa CCM.
nI KWELI KAMA VYAMA TUNATOFAUTIANA, LAKINI KAMA WAPINZANI TUNATAKIWA KUWA WAMOJA!

 
Madiwani wa Arusha hilo wameshaliona na kwamba wameshajipanga kuhakikisha kuwa Mh. Malla ndiye meya wao kwa kipindi cha miaka mitano...
 
Ninavyomfahamu Mrema wa TLP, kama kweli CCM wana madiwani 10 basi TLP watamwagiza diwani wake aunge mkono CCM. Lakini mbona tulisikia CHADEMA walipata madiwani 13, hii idadi ya 9 umepata wapi?
 
Mussa Juma,Arusha
KAMPENI za kumsaka Meya wa jiji la
Arusha, zimeanza mjini hapa baada ya
kumalizika uchaguzi mkuu na
wagombea wa vyama vitatu vya
Chadema, CCM na TLP wanatajwa
kuwania nafasi hiyo.
Habari za uhakika kutoka ndani ya
vyama hivyo, zimebainisha kwamba
upande wa Chadema anayetajwa
kuwania nafasi hiyo ni Estomii Mallah,
CCM Poul loter Laizer na TLP anatajwa
Michael Kivuyo kuwania nafasi hiyo.
Hata hivyo, uwezekano wa Kivuyo
kupata nafasi hiyo, unaonekana ni
mgumu kwani kati ya madiwani wa
kuchaguliwa 20, TLP kuna diwani
mmoja tu, huku Chadema ikiwa na
madiwani tisa pomoja na mbunge na
CCM madiwani 10.
Diwani huyo wa TLP hata hivyo kura
yake moja ni muhimu katika vyama
vyote hatua ambayo sasa inaweza
kumfanya awe naibu meya wa jiji hasa
kutokana na uzoefu wake wa udiwani
kwa miaka 10 sasa.
Hata hivyo, Kama TLP wataunga mkono
Chadema, huenda Malla atakuwa Meya
wa Jiji la Arusha na na kusababisha
Halmashauri ya Jiji kuongozwa na
vyama vya upinzani.
Akizungumzia hali hiyo, kiongozi
mmoja wa CCM, alisema mpasuko wa
viongozi wa CCM wilaya ya Arusha
ambao unawagusa baadhi ya
madiwani pia huenda ukasababisha,
Laizer aliyewahi kuwa Meya kukosa
nafasi hiyo.
Hakuna kiongozi wa Chadema au TLP
ambao walikubali kwa sasa kutoa


khee kumbe uchaguzi bado unaendelea..mwee
 
Back
Top Bottom